Carl Ferdinand Cori : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q204733 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Carl Ferdinand Cori''' ([[5 Desemba]] [[1896]] – [[20 Oktoba]] [[1984]]) na '''Gerty Theresa Cori''' ([[15 Agosti]] 1896 – [[26 Oktoba]] [[1957]]) walikuwa [[wanakemia]] kutoka nchi ya [[Ucheki]].
Baada ya kufunga [[ndoa]] [[mwaka]] wa [[1920]], walihamia [[Marekani]] na kupata [[uraia]] wa huko mwaka [[1922]].
{{mbegu-mwanasayansi}}▼
Hasa walichunguza [[umetaboli]] wa [[kabohaidreti]] katika [[kiumbehai]] cha [[wanyama]].
Mwaka wa [[1947]], pamoja na [[Bernardo Houssay]] walikuwa washindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Tiba'''.
▲{{mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Wanakemia wa Ucheki|C]]
[[Jamii:Wanakemia wa Marekani|C]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Tiba|C]]
|