Sokrates : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata)
No edit summary
Mstari 14:
|tovuti rasmi =
}}
'''Sokrates''' ({{lang-grc|Σωκράτης|Sōkrátēs}}, 470–399[[470 KK]] – [[399 KK]]) alikuwa [[mwanafalsafa]] [[Ugiriki|Mgiriki]] ([[mtu]] wa [[Athens]]), [[falsafa|mwanafalsafa]]. <ref>[[Anthony Gottlieb]] alimwita shahidi na mtakatifu wa falsafa (Monk & Raphael, 2000)</ref>
Nje ya [[falsafa]], anajulikana hasa kwa [[kifo]] chake. Alifariki kutokana na kunywa [[sumu]] baada iliyokuwa [[adhabu]] yake kwa kupatikana na hatia katika [[mahakama]] ya watu wa Athens. Ilidaiwa kwamba mafunzo yake yaliingilia [[dini]] ya mji wa Athens na kulipotoshakupotosha [[vijana]] wake. Ingawa alipewa nafasi kutoroka ili kuepukana na [[hukumu]] yake na kwenda [[uhamisho|uhamishoni]], Sokrates alichagua kunywa sumu hiyo kwa sababu alikuwa amekubali kwa [[hiari]] yake afuate [[sheria]] za Athens, na akaamini kwamba angalikwepa hukumu yake angaliuaibisha [[mkataba]] huo.
 
Maarifa mengi kuhusu Sokrates yametokea mazungumzokatika [[majadiliano]] yaliyoandikwa na [[Plato]], [[mwanafunzi]] wake na mwanafalsafa, maandiko ya [[Zenephon]], mtu wa [[rika]] lake, [[Aristofanes]], na [[Aristotle]]. Kuna matatizo katika maandiko yanayomhusu Sokrates, hivyo siosi vyema kutegemea chanzo kimoja tu. Ukitazama mambo yanayofanana baina ya maandiko, na ukaachilia mbali mambo yanayofikiriwa kuongezwa na [[mwandishi]], Sokrates mwenyewe ataonekana.
 
==Tazama pia==
* [[Pithagoras]]
 
Line 26 ⟶ 27:
 
{{mbegu-mwandishi-Ulaya}}
{{BD|470 KK|399 KK}}
 
[[Jamii:Watu wa Ugiriki wa Kale]]
<!--Categories-->
<!--Interwikis-->
 
[[Jamii:Wanafalsafa]]
[[Jamii:Wanafalsafa wa Ugiriki ya Kale]]