Vita vya Kagera : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ' VITA YA KAGERA vita ya kagera ni vita iliyapiganwa nchini Tanzania.Vita hii ilikuwa ikihusu kugombania ardhi ya kagera kati ya nchi ya...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Vita vya Kagera''' ni [[vita]] vilivyopigwa kati ya [[Uganda]] na [[Tanzania]] miaka [[1978]]-[[1979]].
VITA YA KAGERA
 
vita ya kagera ni vita iliyapiganwa nchini Tanzania.Vita hii ilikuwa ikihusu kugombania ardhi ya kagera kati ya nchi ya Tanzania na Uganda.Vita hii ilianza mnamo mwaka elfu tisa mia na sabini na nane(1978)na kuisha mnamo mwaka elfu tisa mia na sabini na kenda(1979).Katika vita hii Tanzania ikiongozwa na mwl.nyerere iliibuka kidedea kwa kuwapiga vema majeshi ya gaidi Iddi Amini Dadah.Vita hii ilua maelfu ya watu na wengine kuachwa yatima
Vita hivyo vilikuwa vikihusu kugombania ardhi ya [[mkoa wa Kagera]] kati ya nchi ya Tanzania na Uganda.
Mwanzilishi wa vita hii ni Iddi Amini Dadah aliyetaka kupewa ardhi ya kagera na mwl.Nyerere tena kwa shuruti ya kivita.
 
Mwl.Nyerere aliwaongoza vema wanajeshi wakitanzania akisema"mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza uwezo wakumpiga tunao,sababu ya kumpiga tunayo,nia ya kumpiga tunayo,hivyo tumeamua kupambana naye
Katika vita hivyo Tanzania, ikiongozwa na [[rais]] [[Julius Nyerere]] iliibuka kidedea kwa kuwapiga vema [[jeshi|majeshi]] ya [[gaidi]] [[Idd Amini|Idd Amini Dadah]].
 
Vita hivyo viliua maelfu ya watu na wengine kuachwa [[yatima]].
[[Mwanzilishi]] wa vita hii nihivyovalikuwa Iddi Amini Dadah aliyetaka kupewa ardhi ya kageraKagera na mwl.Nyerere tena kwa shuruti ya kivita.
 
Mwl.Nyerere aliwaongoza vema wanajeshi wakitanzaniawa Tanzania akisema ,"mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza uwezo wakumpigawa kumpiga tunao, sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo, hivyo tumeamua kupambana naye.
 
{{mbegu-historia}}
 
[[Jamii:Vita]]
[[Jamii:Historia ya Tanzania]]
[[Jamii:Historia ya Uganda]]