Kisukuku : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →Visikuku vya makaa na mafuta: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|ca}} (2) using AWB (10903) |
masahihisho ya lugha |
||
Mstari 4:
[[Picha:Archeopterix-img 0293.jpg|thumb|250px|[[Archeopteryx]] ni ndege wa kwanza anayejulikana kutokana na visukuku akifanana bado na [[reptilia]] lakini anaonyesha [[manyoa]] tayari]]
'''Kisukuku''' (ing. ''fossile'') ni mabaki ya
Mabaki yanapatikana kwa umbo tofautitofauti
* visukuku vya kijiwe vinavyoweza kutupa picha ya viumbehai vya nyakati zilizopita, na
* visukuku vya makaa na mafuta ambavyo ni chanzo muhimu cha nishati
== Visukuku vya kijiwe ==
Mara nyingi miili ya wanyama na mimea imehifadhiwa kwa umbo la jiwe. Ni kama picha au au hata sanamu ya kiumbe kile. Mifano bora imepatikana pale ambako mmea au mwili wa mnyama ulianguka katika matope
Kama mwili mwenyewe umeshaoza hadi kiunzi cha mifupa kilifunikwa kuna pia visukuku vya mifupa tu. Viumbe kama konokono mara nyingi viliacha visukuku vya umbo la nje pekee kwa sababu miili yao ni laini sana ilipotea haraka na ganda lao halikubali maji yenye mineral kuingia ndani yake.
Sehemu ambako mazingira yalifaa kwa kutokea kwa visukuku huitwa "Lagerstätte" na wataalamu (la-ger-ste-te, neno la kijerumani) na hapa mifano mingi imewahi kuchimbwa. Kutokana na mwendo wa [[gandunia]] (yaani kukunjwa kwa ganda la Dunia) sehemu hizi zinaweza kupatikana chini ya ardhi au juu mlimani.
Kwa njia hii ilitokea mifano kamili ya miili ya spishi zisizopatikana tena duniani. Wataalamu hulinganisha visukuku na wanyama au mimea ya leo na hap wanapata picha juu ya mabadiliko ya spishi. Nadharia ya [[mageuko ya spishi]] iliathiriwa sana na matokeo ya utafiti wa visukuku.
Aina ya pekee ya visukuku ni wadudu waliofungwa ndani ya utomvi wa miti uliobadilika baadaye kuwa [[kaharabu]].
== Visikuku vya makaa na mafuta ==
Sehemu kubwa ya mimea ya kale haikugeukiwa kuwa visikuku vya kijiwe bali mabaki yao yalibadilika wakati yalipokaa kama tabaka juu ya uso wa ardhi yalifunikwa kwa udongo na kubadilishwa kwa shindikizo na joto.
Makaa yote yaliyopo chini ya ardhi ni matokeo ya
==Tazama pia==
*[[Fueli za kisikuku]]
{{mbegu-sayansi}}
|