Mwezi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 2:
[[Picha:Earth-Moon System.jpg|right|thumb|200px|[[Chombo cha angani]] [[Galileo (chombo cha anga)|Galileo]] ilipiga picha hii ya Ardhi na mwezi]]
[[Picha:NASA-Apollo8-Dec24-Earthrise.jpg|right|thumb|200px|Picha maarufu sana ya dunia yetu iliyopigwa na [[mwanaanga]] Mmarekani [[Bill Anders]] wakati wa ujumbe wa [[Apollo 8]] tarehe [[24 Desemba]] [[1968]]. Apollo 8 ilikuwa mara ya kwanza chombo cha angani cha kubebea watu kushikwa na graviti ya mwezi na kuzunguka mwezi kwa ajili ya [[graviti]] hiyo. ]]
'''Mwezi''' ni [[gimba la angani]] linalozunguka [[sayari]] fulani. Kuna miezi mingi katika [[anga la nje]]., Vipindilakini vyamaarufu kuonekanazaidi kwakwetu Mwezini waule Duniapekee vilisababishaunaozunguka matumizi ya "mwezi"[[dunia]] kamayetu. kipindi cha wakati.
 
Mabadiliko ya kuonekana kwake yalisababisha katika [[Kiswahili]] [[neno]] "mwezi" litumike kama kipindi cha wakati. Awamu zake nne pengine ndizo chanzo cha [[Juma|majuma]] ya [[siku]] [[Saba (namba)|sabasaba]].
 
== Miezi ya sayari ==
Sayari inaweza kukosa mwezi au kuwa na miezi mingi. [[Dunia]] yetu ina mwezi m[[moja]] tu. [[Mshtarii]] ina miezi zaidi ya 60, mingine mikubwa kama sayari ndogo, mingine midogo yenye [[kipenyo]] cha [[km]] 1 tu. [[Dunia]] yetu ina mwezi m[[moja]] tu. [Utaridi]] haina mwezi.
 
Mwezi hauna [[nuru]] ya kwake wenyewe bali unang'aa kutokana na nuru ya [[jua]] inaoakisiwa usoni mwake kama kwenye [[kioo]].
 
'''Sayari yenye miezi''' katika [[mfumo wa jua]]:
* [[Dunia]]: mwezi mmoja1
* [[Mirihi]]: miezi 2
* [[Mshtarii]]: miezi 63
Line 24 ⟶ 26:
[[Picha:Lunar libration with phase2.gif|thumb|right|200px|Awamu za mwezi katika kipindi cha mwezi wa kalenda]]
 
== Mwezi wa Dunia (ardhi) yetu ==
Mwezi wa dunia yetu ni kati ya miezi mikubwa kwenye mfumo wa Jua. Hakuna jina tofauti kuliko "mwezi" isipokuwa watu wametumia pia jina la [[Kilatini]] "[[Luna]]" wakitaja mwezi wetu ili kuutofautisha na miezi ya sayari nyingine.