Kisuke : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kisuke''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Ushetu]] katika [[Mkoa wa Shinyanga]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,467 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Shinyanga Region - Kahama District Council]</ref> ▼
Kwa sasa kata ya Kisuke inaongozwa na Diwani Paul Golani (CCM) aliyeshinda uchaguzi ws mwaka 2015 Kwa kumbwaga Aliyekuwa mgombea wa Ukawa Ndugu Joseph Charkes Mtumwa kwa zaidi ya kura 300▼
Wazee mashuhuri wa kijiji hiki na kata hii kwa uchache ni Mzee Nyahinga Katumbati mfugaji wa nyuki mkubwa, Mzee John Lutonja nk▼
Kata hii Ya Kisuke ina Shule za msingi mbili ♥ [{Shule Ya Msingi Kisuke}] ♥ [{Shule Ya Msingi Itumbo}] na pia kuna Mradi wa kujenga shule mbili katika vijiji vya Ipilinga na Kalaba▼
Kata ya Kisuke ina kituo kimoja cha Afya kilichopo katika senta ya Kisuke kilichojengwa mwanzoni mwa miaka ya 1990▼
Kata ya kisuke ina magulio mawili. Gulio la Kisuke lililopo katika mtaa wa mji mwema kijiji cha Kisuke na Gulio la Itumbo lililopo kataka mtaa wa senta katika kijiji cha Itumbo▼
wakazi wengi wa kata hii ni wakristo na waislamu huku idadi ndogo ya watu wakiwa ni wasio fungamana na dini yeyote▼
kata ya Kisuke ilishawahi kutembelewa na {{Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe J.K Nyerere}} mnamo mwaka 1973 Na alifanya uzinduzi wa Ofisi ya CCM kata ya Kisuke amayo mpaka leo ipo na inaendelea kutumikahi▼
Hadi mwaka [[2015]] kata ya Kisuke ilikuwa inajumuisha [[vijiji]] zaidi ya 12 ambavyo ni: Kisuke, Kalaba, Nyamilangano, Bukomela, Nussa, Ngokolo, Mitonga, Mapamba, Kawekunelela, Itumbo, Kalaba na Ipilinga. Kata hii ilikuwa ikiongozwa na [[diwani]] Juma Kimisha kwa miaka kumi mfululizo tangu mwaka [[2005]]. Baada ya hapo kata hiyo kubwa iligawanya na kutengeneza kata [[nne]] yaani: Kisuke, [[Nyamilangano]], [[Bukomela]] na [[Mapamba]].
▲
▲<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Shinyanga Region - Kahama District Council]</ref>
==Elimu==
▲Kata
==Huduma za afya==
▲Kata
==Uchumi==
▲
==Biashara==
▲Kata
==Dini==
▲
=Eneo la kihistoria==
▲
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Kahama Vijijini}}
{{mbegu-jio-shinyanga}}
|