Ndoa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:WikiWed.jpg|thumb|right|''[[Pete]]'',
'''Ndoa''' ni muungano wa [[maisha]] yote kati ya [[watu]] wawili au zaidi unaokubaliwa na kuheshimiwa na [[jamii]].
Katika [[utamaduni]] wa [[nchi]] nyingi uhusiano huo ni kati ya [[mwanamume]] mmoja na [[mwanamke]] mmoja tu na unalenga [[ustawi]] wao na [[uzazi]] wa [[watoto]] katika [[familia]].
Katika nchi nyingine inakubalika ndoa kati ya watu wawili ambao mmojawao ana au anaweza kuwa na mwenzi au wenzi wengine pia ([[mitara]] au upali), hususan ndoa ya mwanamume mmoja na wanawake zaidi ya mmoja. Kumbe kwingine hilo ni [[kosa la jinai]].
Tangu [[mwaka]] [[2000]] nchi
[[Takwimu]] zinaonyesha kwamba katika [[ndoa za jinsia moja]] [[uaminifu]] ni mdogo kuliko katika ndoa za jinsia [[mbili]]. Ndoa za wanaume wawili zinasedeka kushinda zile za wanawake wawili.
Mara nyingi [[harusi]] inafanyika kwa [[ibada]] maalumu kadiri ya [[dini]] ya wahusika.
Baadhi ya [[madhehebu]] ya [[Ukristo|Kikristo]] yanatazama ndoa kati ya [[Ubatizo|wabatizwa]] wawili kuwa [[sakramenti]] ([[Ef]] 5:32): rejea [[Ndoa (sakramenti)]].
Hasa [[Kanisa Katoliki]] linaamini ndoa haiwezi kuvunjwa kwa talaka kutokana na kauli ya [[Yesu]]: "Mungu alichokiunganisha, binadamu asikitenganishe" ([[Mk]] 10:9). {{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Elimu jamii]]
[[Jamii:Jinsia]]
[[Jamii:Uzazi]]
|