Ndoa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 8:
Tangu [[mwaka]] [[2000]] nchi kadhaa zimeanza kuruhusu ndoa kati ya watu wawili wa [[jinsia]] [[moja]]. Kumbe nchi nyingine zinapinga vikali jaribio hilo kama kinyume cha [[dini]] na [[desturi]] au [[maumbile]] yenyewe.
 
[[Takwimu]] zinaonyesha kwamba katika [[ndoa za jinsia moja]] [[uaminifu]] ni mdogo kuliko katika ndoa za jinsia [[mbili]]. Ndoa za wanaume wawili zinasedeka kushinda zile za wanawake wawili<ref>In the Netherlands of the 580 lesbian couples who were married in 2005, 30% were divorced ten years later compared to 18% for heterosexual couples and 15% for gay male couples. {{cite web | url=https://nltimes.nl/2016/03/30/marriages-women-likely-end-divorce |title=Marriages Between Women Most Likely To End In Divorce |author=Janene Pieters |work=NL Times |date=1 March 2016 |accessdate=17 May 2018}}</ref>.
 
Mara nyingi [[harusi]] inafanyika kwa [[ibada]] maalumu kadiri ya [[dini]] ya wahusika.
Mstari 16:
Hasa [[Kanisa Katoliki]] linaamini ndoa haiwezi kuvunjwa kwa talaka kutokana na kauli ya [[Yesu]]: "Mungu alichokiunganisha, binadamu asikitenganishe" ([[Mk]] 10:9).
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-utamaduni}}