Vwawa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 19:
}}
'''Vwawa''' ni [[jina]] la [[mji]] na [[makao makuu]] ya [[Wilaya ya Mbozi]] katika [[Mkoa wa Songwe]],
[[Mji]] huo unapatikana [[Nyanda za Juu za Kusini]] [[mkoa]] mpya wa Songwe (zamani sehemu ya [[mkoa wa Mbeya]]) tena na ni makao makuu ya [[mkoa]] huo.
'''Vwawa ''' ni sehemu ya [[Wilaya ya Mbozi]] katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Tanzania]]. Wakati wa wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ya Vwawa ilikuwa na wakazi wapatao 56,256 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Mbeya - Mbozi DC]</ref> walioishi humo. [[Msimbo wa posta]] ni 53301.▼
▲
Asili ya jina la Vwawa ni mtemi au mlima.▼
▲[[Asili]] ya [[jina]] la Vwawa ni [[mtemi]] au [[mlima]].
Mji huu uko kando ya [[barabara kuu]]
Mji huu umepitiwa pia na [[reli]] ya [[TAZARA]] kutokea jijini Dar es Salaam hadi [[Kapiri Mposhi]] nchini Zambia.
Mji huu una wenyeji ambao ni [[Wanyiha]], [[Wandali]] na [[Wanyamwanga]], lakini pia ma[[kabila]] mengine ambayo si asili katika wilaya ya Mbozi.▼
▲Mji huu una wenyeji ambao ni [[Wanyiha]], [[Wandali]] na [[Wanyamwanga]] na baadhi ya [[Wanyakyusa]] wapatikanao katika maeneo ya masoko na [[Ndolezi]] wilayani Mbozi, lakini pia ma[[kabila]] mengine ambayo si asili katika wilaya ya Mbozi.
Mji huu una mitaa yake ambayo ni Ilolo, Mwenge, Ilembo, Mtambwe, Jim road, Isangu, Ichenjezya, Mbugani na Vwawa day. ▼
▲Mji huu una [[mitaa]] yake ambayo ni: Old Vwawa, Ilolo, Mwenge, Ichenjezya, Ilembo, Frolida, Mbimba Itemba, Mtambwe, Jim road, Isangu, Ichenjezya, Mbugani na Vwawa day.
Mji huu umetoa wasomi wengi sana ambao ni [[chachu]] ya [[maendeleo]] kwa nchi ya Tanzania.▼
▲Mji huu umetoa [[wasomi]] wengi sana ambao ni [[chachu]] ya [[maendeleo]] kwa nchi ya Tanzania.
Mnamo mwaka 2015 jina la Vwawa liliingia katika vichwa vikuu vya habari nchini Tanzania baada ya kuhusishwa na harakati za kuufanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Songwe kabla ya kupitishwa kwake rasmi mnamo mwaka 2016. Vwawa ni mji ambao ni makao makuu ya wilaya ya Mbozi lakini pia makao makuu ya mkoa mpya wa Songwe. ▼
Mji huu umezungukwa na [[huduma]] mbalimbali za kijamii ikiwemo za [[serikali]] na watu binafsi kama vile [[shule]], [[hospitali]], [[nyumba]] za serikali, [[benki]] na huduma nyingine kama vile [[vituo vya mafuta]], [[Soko|masoko]], [[maji]] ya kutosha na [[umeme]].
Mji huu una [[ardhi]] nzuri ambayo si ya hali ya [[ukame]] na ambayo inaruhusu uwepo wa [[vyakula]] vya aina nyingi kwa vipindi vyote, yaani [[kiangazi]] na [[masika]].
[[Mlima Ng'amba]] na [[milima]] mingine ionekanayo kwa [[umbali]] ni kati ya vitu vioneshayo Vwawa kwa [[uzuri]] wa kipekee.
[[Kazi]] nzuri ifanywayo na [[jeshi]] la [[polisi]] pamoja na [[ukarimu]] pia [[ushirikiano]] wa watu wa Vwawa vimefanya Vwawa kuwa mji wenye [[utulivu]] muda wote.
Uwepo wa makampuni binafsi kama vile Ilasi, Unyiha, ADP na mengine mengi ambayo hayajatajwa yamesaidia sana sekta za elimu, uchumi, habari na masuala ya kilimo. Pia Vwawa inatoa fursa ya uwekezaji kwa wageni na wenyeji katika masuala mbalimbali. Wenyeji wa mji huu wa Vwawa wanawakaribisha sana wageni wa mikoa na wilaya nyingine ili kuwezesha mzunguko wa kibiashara na kijamii.▼
▲
Uwepo wa kampuni binafsi kama vile Ilasi, Unyiha, ADP na nyingine nyingi umesaidia sana sekta za [[elimu]], [[uchumi]], [[habari]] na masuala ya [[kilimo]].
▲
==Marejeo==
Line 51 ⟶ 55:
{{Kata za Wilaya ya Mbozi}}
{{mbegu-jio-mbeya}}
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]]
|