Kikapu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kikapu''' ni chombo ambacho kijadi kinajengwa kutoka nyuzi ngumu, ambazo zinaweza kufanywa kutoka kwa vifaa mbalimbali, ikiwa ni pamoja na vipande vya mbao....' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kikapu''' ni [[kifaa]] ambacho kijadi hutumika kubebea [[kitu|vitu]].
Kinatengenezwa kutoka [[nyuzi]] ngumu, ambazo zinaweza kufanywa kutokana na vitu mbalimbali, kama vile [[mianzi]], [[mnyaa|minyaa]], [[Tete|matete]], [[mikonge]] pamoja na vipande vya [[mbao]].
{{mbegu-chombo}}▼
Wakati vikapu vingi vinatengenezwa kutoka kwa vifaa vya [[mimea]], vifaa vingine kama [[Usinga|singa]] za [[farasi]], [[nyangumi]], au [[Waya|nyaya]] za [[chuma]] vinaweza kutumiwa.
Vikapu kwa ujumla hutengenezwa kwa [[mikono]].
Vikapu vingine vinafungwa na kifuniko, wengine huachwa wazi.
[[Jamii:Vifaa]]
|