Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d Masahihisho aliyefanya Ng'hwebele (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Kipala
Tag: Rollback
Mstari 25:
|----
| [[Orodha ya Marais wa Tanzania|Rais]] || [[John Pombe Joseph Magufuli]]
|----
| [[Orodha ya Marais wa Tanzania|Makamu wa Rais]] || [[Samia Suluhu]]
|----
| [[Waziri Mkuu]] || [[Majaliwa K. Majaliwa]]
Line 52 ⟶ 50:
'''Tanzania''' ni [[nchi]] iliyoko [[Afrika ya Mashariki]].
 
Imepakana na [[Uganda]] na [[Kenya]] upande wa [[kaskazini]], [[Bahari Hindi]] upande wa [[mashariki]], [[Msumbiji]], [[Malawi]] na [[Zambia]] upande wa [[kusini]], [[Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia|Kongo]], [[Burundi]] na [[Rwanda]] upande wa [[magharibi]]. Eneo lina [[kilometa za mraba]] 947,303 (nchi ya 31 [[duniani]]); [[maji ya ndani]] yanachukua [[asilimia]] 6.2. Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka [[2012]] walikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika [[sensa]] ya mwaka [[2002]]. [[Msongamano]] ni wa watu 47.5 kwa [[km2]] (nchi ya 124 duniani). Tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]]. [[Mji mkuu]] ni [[Dodoma mjini|Dodoma]] (wenye wakazi 410,956), lakini [[rais]] bado yupo [[Dar es Salaam]], [[jiji]] kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541. Miji mingine ni kama vile [[Mwanza (mji)|Mwanza]] (706,543), [[Arusha (mji)|Arusha]] (416,442), [[Mbeya (mji)|Mbeya]] (385,279), [[Morogoro (mji)|Morogoro]] (315,866), [[Tanga (mji)|Tanga]] (273,332), [[Kahama (mji)|Kahama]] (242,208), [[Tabora (mji)|Tabora]] (226,999) na [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] (223,033).
 
Eneo lina [[kilometa za mraba]] 947,303 (nchi ya 31 [[duniani]]); [[maji ya ndani]] yanachukua [[asilimia]] 6.2.
 
Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka [[2012]] walikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika [[sensa]] ya mwaka [[2002]].
 
[[Msongamano]] ni wa watu 47.5 kwa [[km2]] (nchi ya 124 duniani).
 
Tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]].
 
[[Mji mkuu]] ni [[Dodoma mjini|Dodoma]] (wenye wakazi 410,956), lakini [[rais]] bado yupo [[Dar es Salaam]], [[jiji]] kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541.
 
Miji mingine ni kama vile [[Mwanza (mji)|Mwanza]] (706,543), [[Arusha (mji)|Arusha]] (416,442), [[Mbeya (mji)|Mbeya]] (385,279), [[Morogoro (mji)|Morogoro]] (315,866), [[Tanga (mji)|Tanga]] (273,332), [[Kahama (mji)|Kahama]] (242,208), [[Tabora (mji)|Tabora]] (226,999) na [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] (223,033).
 
==Jiografia==
Nchi iko katika eneo la [[Maziwa makubwa ya Afrika]], hivyo [[Ziwa|maziwa]] yanafunika km<sup>2</sup> 61,500, yaani 6% za eneo lote la nchi.

Pia ina [[mito]] mingi ambayo inaelekeza [[maji]] yake katika [[Bahari ya Hindi]] [[mashariki]] mwa nchi, lakini mingine inachangia [[Mto Zambezi]] kupitia [[Ziwa Nyasa]], michache [[Bahari ya Kati]] kupitia [[Ziwa Victoria]] na [[mto Naili]], mingine tena [[Bahari Atlantiki]] kupitia [[Ziwa Tanganyika]] na mingine inaishia katika [[mabonde]] kama ya [[Ziwa Rukwa]].

Karibu [[thuluthi]] [[moja]] ya nchi inalindwa kwa namna moja au nyingine: kuna [[Mbuga za Taifa la Tanzania|Hifadhi za Taifa 16]], mbali ya Hifadhi Teule, Hifadhi za Mawindo, Mapori ya Akiba n.k.
 
== Historia ==