Kangi Alphaxard Lugola : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 26:
==Elimu==
Kangi alianza masomo ya shule ya msingi katika shule ya msingi ya Nyabitwebili kuanzia mwaka 1974 mpaka 1977 akasoma pale kuanzia darasa la kwanza hadi la nne na kisha akahamia Shule ya Msingi Mugeta ambapo alisoma pale kwa mwaka mmoja (1978), alipofunga Shule kwa mwaka uliofuata aliamua kwenda kumalizi madara ya sita na saba katika shule ya Msingi Kafunjo, huo ulikuwa mwaka 1979 hadi 1980 hapo ndipo alipohitimu Elimu ya Darasa la saba na hivyo kutunukiwa cheti cha Elimu ya Msingi. Mwaka 1981 alijiunga na Shule ya sekondari ya Sengerema (Sengerema Secondary School) hadi mwaka 1984 alipohitimu Elimu ya sekondari na ktunukiwakutunukiwa cheti cha CSEE. Huo ndio ukawa mwanzamwanzo wa kusonga mbele kwani mnamo mwaka 1985 alijiunga tena na Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Songea (Songea Boys Secondary School) kwa ajili ya elimu ya juu ya Sekondari na hivyo kuhitimu kidato cha sita mwaka 1987 kwa kuzawadiwa cheti cha ACSEE. Matokeo hayo yalimpa nafasi Kangi kusonga mbele kwa ajili ya elimu ya juu ambapo mwaka 1996 hadi 1997 alifanikiwa kupata stashada kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam. (University of Dar es Salaam) Kati ya mwaka 1988 hadi mwaka 1992 ambapo alihitimu Shahada ya Uchumi. Mwaka 2008 ajiunga na Chuo kikuu cha Leisester nchini uingereza na kufanikiwa kupata Shahada ya udhamili mwaka 2010.
 
==Kuhusu kuajiriwa==