Orange Democratic Movement : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Orange Democratic Movement (ODM)''' au kwa jina kamili '''Orange Democratic Movement Party of Kenya''' ni chama cha kisiasa nchini [[Kenya]]. Kilianzishwa mwaka 2006 katika maandalizi ya uchaguzi wa bunge la Kenya 2007. Katika Agosti 2007 chama kilifarakana kati ya wafuasi wa [[Kalonzo Musyoka]] aliyeendelea kwa [[ODM-Kenya]] na maungano ya viongozi wengi zaidi pamoja na [[Raila Odinga]] walioendelea kama ODM. Sababu ya farakano ilikuwa swali la nani atakuwa mgombea wa urais upande wa ODM.
==
Chanzo cha ODM ilikuwa kura maalumu ya wananchi ya 2005 kuhusu katiba mypa. Katiba ilipendekezwa na rais [[Mwai Kibaki]] na wafuasi wake. Wabunge wa [[LDP (Kenya)|LDP]] walipinga pendekezo la katiba pamoja na chama cha upinzani cha [[KANU]] chini ya [[Uhuru Kenyatta]]. Pande mbili katika kura hii zilipewa alama za ndizi (kambi ya "ndiyo") na chungwa (kambi ya "hapana").
Mstari 7:
==Kuunda chama na farakano==
Hapa waliamua kuandaa chama kipya pamoja na KANU kwa ajili ya uchaguzi wa 2007. Chama kiliundwa kwa jina la ODM-Kenya kwa sababu wakili Mugambi Imanyara asiyekuwa na uhusiano wowote na harakati aliwahi kuandikisha chama kwa jina hili. Hatua hii ilitazamiwa kama jaribio la kuzuia kwa kuandikisha chama kipya
KANU ilijiondoa kabla ya uchaguzi lakini viongozi kadhaa kama vile [[Musalia Mudavadi]] na William Ruto walibaki upande wa ODM.
Swali la kumteua mgombea wa urais
==Matatizo ya majina==
Baada ya farakano kutokea swali la jina likajitokeza.
==Uchaguzi wa 2007==
|