Mgonjwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Paratroopers Cheer Up Sick Kids at Indianapolis Hospitals DVIDS197305.jpg|thumb|Hii ni picha inayoonesha mgonjwa akiwa hospitali na wanajeshi wamemtembelea.]]
[[Picha:Hunger and sickness Madras.jpg|right|thumb|HuyuMhindi nihuyu mgonjwa waana [[njaa]], yaani ugonjwa wake umesababishwa na [[upungufu]] wa chakula.]]
'''Mgonjwa''' ni [[mtu]] aliyeingiliwa na [[maradhi]].
 
Mstari 8:
 
Pamoja na hayo, [[utu]] unadai kumpatia mgonjwa mahitaji yake mengine kwa [[mwili]] ([[chakula]] n.k.) na kwa [[nafsi]] (k.mf. [[pendo]] na [[faraja]]).
 
[[Dini]] mbalimbali zinaelekeza namna ya kumhudumia hadi mwisho. Kwa mfano [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mbalimbali wanamuombea na kumpatia [[sakramenti]], zikiwemo [[kitubio]], [[mpako wa wagonjwa]] na [[ekaristi]].
 
==Njia za maambukizi==
Line 18 ⟶ 20:
*Njia ya [[kujamiana]], mfano [[Ukimwi]] n.k.
 
==Tazama pia==
{{mbegu}}
* [[Mahututi]]
* [[Sadaruki]]
 
{{mbegu-tiba}}
 
[[Jamii:Tiba]]