Shule : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kuboresha na kuondoa dhana pendeleo. |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Himo Holy Child PS 2012 Tamino.jpg|thumb|right|350px|Shule ya msingi ya Holy Child, [[Himo]], [[Makuyuni]] ([[Monduli
[[Picha:ZambianSchool2.JPG|thumb|right|350px|Shule ya
'''Shule''' (kutoka [[Kijerumani]]: '''Schule'''; nchini [[Tanzania]] na [[Kenya]], huko [[Zanzibar]]
Leo hii katika nchi nyingi [[watoto]] na [[vijana]] wanatakiwa waende shule kujifunza mambo ya msingi ambayo watayahitaji kwa [[maisha]] yao ya baadaye.
Mambo hayo ni masomo. Kila [[somo]] lina fahamu zake tofauti katika kufundisha. Kwa mfano: [[kuandika]], [[kusoma]], na kuhesabu [[namba]] ([[hisabati]]).
Shule ni mahali ambapo watu hujifunza mambo mengi ambayo huwasaidia katika kuyakabili maisha hata kupata [[elimu]] juu ya jambo fulani. Elimu hiyo ndiyo itakayomsaidia kutatua jambo hilo.
[[Watu]] wengi husema kwamba elimu haina mwisho, wakimaanisha kuwa elimu inaweza kutolewa kwa watu wote bila kujali kama ni [[watoto]], [[vijana]], [[watu wazima]] hata [[wazee]].
Pia unaweza ukasema kwamba elimu ni [[ufunguo]] wa maisha ukimaanisha kuwa elimu ndiyo kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kwa kuwa huwezi kutatua tatizo fulani bila kupata elimu juu ya tatizo hilo.
Watu wanaopatikana shuleni ni wa aina tatu: [[wanafunzi]], [[walimu]] na [[wafanyakazi]] wengine wanaotunza [[Jengo|majengo]] na [[vifaa]].
Katika nchi nyingi masomo ya shule hupangwa kwa ngazi kufuatana na [[umri]] wa wanafunzi:
# Shule ya [[chekechea]] au vidudu au watoto wadogo chini ya umri wa miaka 6
# [[Shule ya
# Shule ya
Ngazi ya juu inayopatikana katika mfumo huu ni mtihani unaoandaa kwa kuingia katika ngazi ya juu ya elimu kwenye [[vyuo]] na [[Chuo Kikuu]].
Mstari 26:
Pamoja na hayo kuna shule zinazowalenga watu wazima au watu ambao hawakuendelea moja kwa moja katika elimu yao.
Nchi kadhaa huweka mkazo kwa [[shule ya ufundi]] inayolenga kuwapa wanafunzi wake elimu nzuri katika [[fani]] fulani ya
Upatikanaji wa shule ni sehemu muhimu za [[miundombinu]] wa kila nchi.▼
{{mbegu-elimu}}
|