Msitu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d nimeweka picha |
Muungano wa matini |
||
Mstari 1:
[[Picha:Kilimanjaro forest.jpg|thumb|Msitu wa [[Kilimanjaro (Volkeno)|Kilimanjaro]], nchini [[Tanzania]].]]
[[Picha:Orman.JPG|right|thumb|220px|Msitu mwingine.]]
[[File:Stara planina suma.jpg|thumb|Msitu wa [[Stara Planina]], [[Serbia]].]]
[[Picha:Tropical forest.JPG|thumb|Msitu wa [[tropiki]].]]
[[Msitu]] wa mvua wa Amazon ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.▼
'''Msitu''' ni mkusanyiko wa [[uoto asilia]] unaojumuisha [[miti]] mingi ya aina mbalimbali (kwa mfano: [[mipingo]], [[mikoko]] n.k.) [[mimea]] na [[nyasi]] ambazo huweza kuwa fupi au ndefu.
Msitu wa conifer katika Alps ya Uswisi (Hifadhi ya Taifa)▼
Milima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.▼
Misitu inaweza kuwa za aina mbili:
* ya asili au
* ya kupandwa na binadamu (isiyo ya asili).
Misitu ya asili ni misitu ambayo huota yenyewe bila kupandwa na mwanadamu. Kwa mfano, msitu wa [[Hifadhi ya taifa ya Udzungwa|Udzungwa]] ([[Mkoa wa Morogoro]], [[Tanzania]]) ni kivutio kikubwa cha [[Utalii|watalii]], hivyo kupitia msitu huu nchi inajipatia [[fedha]] za [[kigeni]].
Misitu isiyo ya asili ni misitu ambayo hupandwa na [[mwanadamu]] kwa malengo mbalimbali.
Ndiyo tofauti kati ya misitu ya asili na isiyo ya asili.
==Umuhimu wa misitu==
Mara nyingi [[wanyama]] mbalimbali, wakubwa kwa wadogo, huishi na hutegemea uoto huo kwa kuwatimizia mahitaji yao kwa [[malazi]] na [[chakula]].
Hata hivyo maisha ya [[binadamu]] hutegemea [[mazingira]] yake yanayomzunguka katika kujikimu kwani kupitia misitu [[mvua]] hunyesha na hivyo kusababisha ustawi na ongezeko la [[chakula]].na kuepusha baa la njaa
Ni kwamba [[asilimia]] kubwa ya watu hutegemea [[kilimo]] ili kujipatia mahitaji yao ya kila siku, hasa katika nchi za [[Afrika]] ambazo ziko nyuma sana katika nyanja za utumiaji wa [[teknolojia]] za kisasa kama utumiaji wa [[zana za kilimo]], k.mf. [[matrekta]].plau,mashine za kuvunia mazao.
Hivyo katika kutimiza upatikanaji wa chakula kwa wingi ni lazima misitu ilindwe kwa nguvu zote katika ukuaji na ustawi wa [[jamii]], la sivyo maisha ya [[viumbe]] vyote yatakuwa hatarini.
==Majukumu kuhusu misitu==
Tunatakiwa tutunze misitu kwa ajili ya manufaa yetu wenyewe na vizazi vingine kwa sababu misitu inatusaidia kwa utalii na tunaweza kupata mvua kwa wingi.
Njia za kufuata katika utunzaji wa misituː
*kupanda miti sehemu iliyokatwa miti
*kupunguza [[kilimo cha kuhamahama]]
*kuzuia [[uwindaji]] wa [[wanyama]] kwa kuchoma misitu
*kuzuia ongezeko la watu katika eneo dogo
*kuelimisha jamii juu ya utunzaji misitu
Faida za misitu ni:
*Husaidia katika mfumo wa mvua
*Hutumika kama makazi ya wanyama
*Ni chanzo cha mapato ya nchi
*Hutupatia [[dawa]] na [[chakula]]
*hutupatia mbao kwaajili ya ujenzi
[[Hasara]] za ukataji mitiː
*unasababisha [[mmomonyoko]] wa [[udongo]]
*unasababisha [[ukame]]
*unakaribisha [[jangwa]]
*unasababisha [[mvua za misimu]]
*uharibifu wa [[mazingira]]
*ongezeko la [[hali joto]]
*uhalibifu wa makazi ya wanyama.
Hivyo ni muhimu kushauri watu watunze sana vyanzo vya asili kama misitu: hii ni kwa faida yetu wenyewe, inatusaidia hata kupata mvua kwa wingi.
==Ufafanuzi==▼
▲Milima ya Adirondack ya [[New York]] Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.
Misitu juu ya Mlima Dajt, Albania
Line 14 ⟶ 65:
Jamii ya binadamu na misitu huathiriana kwa njia nzuri na mbaya.Misitu hutoa huduma za mazingira kwa wanadamu na kutumika kama vivutio vya utalii. Misitu inaweza pia kuathiri afya ya watu. Shughuli za kibinadamu, ikiwa ni pamoja na kuvuna rasilimali za misitu, zinaweza kuathiri vibaya mazingira ya misitu.
▲Ufafanuzi
Ijapokuwa msitu ni muda wa parlance ya kawaida, hakuna ufafanuzi sahihi kabisa ulimwenguni, na ufafanuzi zaidi ya 800 wa msitu unaotumiwa duniani kote. Ijapokuwa msitu hufafanuliwa kwa uwepo wa miti, chini ya ufafanuzi wengi eneo lenye kupoteza kabisa miti bado linaweza kuchukuliwa kama msitu ikiwa limekua miti katika siku za nyuma, litazaa miti baadaye,au iliwekwa rasmi msitu bila kujali aina ya mimea.
Line 49 ⟶ 73:
Maeneo fulani yanayofunikwa kwenye miti yanatajwa kisheria kama maeneo ya kilimo, k.m. Norway mashamba spruce katika sheria ya misitu Austrian.
{{mbegu-biolojia}}
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Hifadhi ya mazingira]]
|