Nyama : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:FoodMeat.jpg|right|300px|thumb|Nyama ya wanyama kadhaa.]]
'''Nyama''' ni sehemu za [[mwili]] wa [[wanyama]] zinazoliwa kama [[chakula]] au [[kitoweo]].
Kwa [[watu]] wengi nyama ni chakula muhimu kwa sababu ina [[protini]] nyingi ndani yake pamoja na [[mafuta]]. Nyama huliwa baada ya kuipika, kuchoma au kukaanga. Kuna sehemu za [[dunia]] ambako watu wamezoea kula nyama mbichi wakiteua sehemu lainilaini, kwa mfano nyama ya kusagwa au [[ini|maini]].
== Uchumi wa nyama ==
[[Gharama]] ya nyama ni kubwa kushinda chakula cha [[mboga]] kwa sababu kiuchumi nyama ni mboga iliyobadilishwa [[umbo]]. Njia yake ni
Katika [[mazingira]] asilia
Kilimo cha kisasa kimebadilisha muundo
== Historia ==
Uthibitisho wa [[
Wanyama ambao sasa ni vyanzo vikuu vya nyama walianza kuliwa toka mwanzo wa [[maendeleo]] ya [[ustaarabu]]:▼
▲Uthibitisho wa [[Paleotolojia]] unaonyesha kuwa nyama ilikuwa sehemu kubwa ya chakula cha binadamu toka kale. Jamii za kale za wawindaji zilipata nyama kwa kuwinda wanyama wakubwa kama [kulungu]]
▲Wanyama ambao sasa ni vyanzo vikuu vya nyama walianza kuliwa toka mwanzo wa maendeleo ya ustaarabu:
▲* [[Kondoo]] wanatoka Asia ya magharibi.
▲* [[Ng'ombe]] wana asili ya Mesopotamia baada ya kuanzishwa kwa nyanja ya kilimo.
▲* [[Nguruwe]] wanaaminika kutoka katika nchi inayojulikana siku hizi kama Hungary.
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Meats|Nyama}}
{{mbegu-biolojia}}
|