Kroatia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tengua pitio 1024456 lililoandikwa na Riccardo Riccioni (Majadiliano)
Tag: Undo
Maandishi yaliyokuwepo yalichukuliwa nafasi na ''''Kroatia''' go to '''Hell'''. Jamii:Kroatia Jamii:Nchi za Ulaya Jamii:Nchi za Umoja wa Ulaya'
Mstari 1:
'''Kroatia''' go to '''Hell'''.
{{Infobox Country
| native_name = ''Republika Hrvatska''
| conventional_long_name = Jamhuri ya Kroatia
| common_name = Kroatia
| image_flag = Flag_of_Croatia.svg
| image_coat =Coat_of_arms_of_Croatia.svg
| image_map = Europe_location_CRO.png
| national_motto = -- <br />Kihistoria: ''Antemurale Christianitatis'' ([[Kilatini]])<br /> "Ngome ya Ukristo" <!--"Forewall"...?-->
| patron_saint = [[Mt. Yusufu|Sv.Josip]] <br /> "Mt. Yusufu"
| national_anthem = "[[Lijepa naša domovino]]" <br /> "Nchi yetu nzuri"
| official_languages = [[Kikroatia]]<sup>1</sup>
| capital = [[Zagreb]]
| latd=45| latm=48| latNS=N| longd=16| longm=0| longEW=E
| largest_city = Zagreb
| government_type = [[Jamhuri]]
| leader_titles = [[Rais wa Kroatia|Rais]] <br /> [[Waziri Mkuu wa Kroatia|Waziri Mkuu]]
| leader_names = [[Kolinda Grabar-Kitarović]] <br /> [[Andrej Plenković]]
| area_rank = ya 126
| area_magnitude = 1_E10
| area = 56,542
| areami² = 21,831 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
| percent_water = 0.01
| population_estimate = 4,551,000
| population_estimate_year = Julai 2005
| population_estimate_rank = ya 128
| population_census = 4,284,889
| population_census_year = 2011
| population_density = 75.8
| population_densitymi² = 196.3 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
| population_density_rank = ya 126
| GDP_PPP_year = 2006
| GDP_PPP = $59,334 billioni
| GDP_PPP_rank = ya 7
| GDP_PPP_per_capita = $14,285
| GDP_PPP_per_capita_rank = 5
| HDI_year = 2006
| HDI = 0.846
| HDI_rank = ya 44
| HDI_category = <font color="#009900">high</font>
| sovereignty_type = [[Uhuru]]
| established_events = Ilianzishwa <br />[[Utemi wa Kroatia]] <br />[[Ufalme wa Kroatia]] <br /> Kutoka [[Yugoslavia]]
| established_dates = <br /> [[Karne ya 7]] (mwanzoni)<br />[[3 Machi]] [[852]] <br /> [[925]]<br />[[25 Juni]] [[1991]]
| currency = [[Kuna (kn)]]&nbsp;
| currency_code = HRK
| time_zone = [[Wakati wa Ulaya ya Kati|CET]]
| utc_offset = +1
| time_zone_DST = [[Wakati wa kiangazi wa Ulaya ya Kati|CEST]]
| utc_offset_DST = +2
| cctld = [[.hr]]
| calling_code = 385
| motor_code = HR
| footnotes = <sup>1</sup>pia [[Kitalia]] katika [[Istria]].
}}
 
[[Picha:Hr-map.png|thumb|left|330px|Ramani ya Kroatia]]
[[Picha:Arena pula inside.JPG|thumb|right|300px|Uwanja wa [[Arena (colosseum)]] mjini [[Pula]], [[Istria]]]]
'''Kroatia''' (kwa [[Kikroatia]]: ''Republika Hrvatska'') ni nchi ya [[Ulaya]] ya kusini-mashariki. Imepakana na [[Slovenia]], [[Hungaria]], [[Serbia]], [[Bosnia na Herzegovina]] na [[Montenegro]].
 
Ng'ambo ya kidaka cha [[Adria]] iko [[Italia]].
 
Mji mkuu ni [[Zagreb]].
 
Kroatia ilikuwa kati ya majimbo ya [[Yugoslavia]] na ilipata uhuru wake mwaka [[1991]].
 
Imejiunga na [[Umoja wa Ulaya]] tarehe [[1 Julai]] [[2013]].
 
== Historia ==
Maeneo ya Kroatia yalikuwa sehemu ya [[Illyria]] wakati wa [[Dola la Roma]] na kutawaliwa kama [[mikoa]] ya [[dola]] hilo.
 
Mnamo [[mwaka]] [[395]] Dola la Roma liligawiwa katika sehemu ya [[Dola la Roma Magharibi|magharibi]] na sehemu ya [[Dola la Roma Mashariki|mashariki]]. Sehemu hizo [[mbili]] ziliendela baadaye kwa namna mbili tofauti.
 
Kuanzia mwaka [[600]] [[Kabila|makabila]] ya [[Waslavoni]] walianza kuingia na kukaa. Wakroatia waliunda [[utemi]] wao wa kwanza. Kroatia ilikuwa upande wa magharibi wa mstari wa mwaka 395, hivyo chini ya [[athira]] ya [[Kanisa Katoliki]], ikaendelea kuwa sehemu ya [[utamaduni]] wa [[Ulaya ya magharibi]]. Kumbe Waslavoni wa jirani wanaotumia [[lugha]] ileile waliishi chini ya athira ya [[Bizanti]] na [[Kanisa la Kiorthodoksi]], hivyo kuendelea kama sehemu ya [[Ulaya ya Mashariki]] na kuitwa [[Waserbia]].
 
Mtemi [[Tomislav]] ([[910]]–[[928]]) alichukua [[cheo]] cha [[mfalme]] mwaka [[925]]. Huo [[Ufalme wa Kroatia]] uliendelea hadi mwaka [[1102]]. Wakati ule [[mfalme]] wa mwisho hakuwa tena wa [[watoto]] na mfalme wa [[Hungaria]] alichaguliwa kuwa mfalme wa Kroatia pia. Maungano hayo na Hungaria yaliendelea kwa [[karne]] nyingi.
 
Tangu maungano wa Hungaria na [[Austria]] ni [[Kaisari]] wa Austria aliyekuwa na cheo cha mfalme wa Krotia hadi [[vita kuu ya kwanza ya dunia]] ([[1914]]-[[1918]]).
 
Mwaka 1918 [[Dola la Austria]] liliporomoka. Waslavoni wa Kusini waliamua kuunda [[ufalme]] wa pamoja kwa [[jina]] la [[Yugoslavia]]. Kroatia ilikuwa sehemu ya Yugoslavia kuanzia [[1918]]; kwanza katika [[ufalme wa Yugoslavia]], halafu katika [[jamhuri]] ya [[Usoshalisti|kisoshalisti]] ya Yugoslavia hadi [[1991]].
 
Miaka [[1990]] / 1991 Yugoslavia iliporomoka na majimbo yake zilitafuta [[uhuru]] kama nchi za kujitegemea.
 
==Wakazi==
Nchi ina [[umoja]] mkubwa upande wa [[kabila]], [[lugha]] na [[dini]], watu wengi wakiwa Wakroatia asilia (90.4%), wakisema [[Kikroatia]] (95.6%) na kufuata [[imani]] ya [[Ukristo]] katika Kanisa Katoliki (86.28%).
 
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya miji ya Kroatia]]
* [[Orodha ya nchi kufuatana na wakazi]]
{{Umoja wa Ulaya}}
{{Ulaya}}
{{mbegu-jio-Ulaya}}
 
[[Jamii:Kroatia]]