Mafarisayo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 49 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q26403 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Mafarisayo''' waliunda [[madhehebu]] mojawapo ya [[Uyahudi]] ambayo wakati wa [[Yesu Kristo]] iliweza kufikia 5% ya Wayahudi wote, lakini ilikuwa na athari kubwa katika jamii yao, kutokana na sifa ya kuwa wanadini hasa. Jina lenyewe lina maana ya '''waliojitenga''' (na wakosefu) ili kushika kiaminifu masharti yote ya [[Torati]] ya [[Musa]].
Mafarisayo wanajulikana hasa kutokana na [[Injili]] ambazo zinawataja kwa kawaida kama wapinzani wa [[Yesu]], ingawa yeye alikuwa anakubaliana nao katika mafundisho mengi ya imani tofauti na yale ya [[Masadukayo]],
Mafarisayo walianza mwishoni mwa [[karne ya 2 K.K.]] na kuendelea kustawi hadi mwaka [[70]] [[B.K. ]], ambapo [[Yerusalemu]] iliteketezwa na [[Warumi]]. Maangamizi ya [[Hekalu la Yerusalemu|hekalu]] yalivunja nguvu ya Masadukayo na kuwaachia Mafarisayo uongozi wa [[dini]] yao.
|