Mafarisayo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
Mafarisayo wanajulikana hasa kutokana na [[Injili]] ambazo zinawataja kwa kawaida kama wapinzani wa [[Yesu]], ingawa yeye alikuwa anakubaliana nao katika mafundisho mengi ya imani tofauti na yale ya [[Masadukayo]], dhehebu jingine kubwa lililokuwa na wafuasi hasa kati ya ma[[kuhani]].
 
Mafarisayo walianza mwishoni mwa [[karne ya 2 K.K.]] na kuendelea kustawi hadi mwaka [[70]] [[B.K. ]], ambapowakati [[Yerusalemu]] iliteketezwailipoteketezwa na [[Warumi]]. Maangamizi ya [[Hekalu la Yerusalemu|hekalu]] yalivunja nguvu ya Masadukayo na kuwaachia Mafarisayo uongozi wa [[dini]] yao.
 
[[Jamii:Uyahudi]]