Tabianchi ya Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Tabia ya nchi''' ni hali ya mabadiliko ya kimazingira kwa[[mazingira]] upande wa [[hali ya hewa]] yaniyaani [[halijoto]], [[Upepo|pepo]] zinazovuma na [[mvua]] ambayo yanayojirudia rudia kwa [[muda]] mrefu.
 
[[Tanzania]] ni nchi iliyopo [[mashariki]] mwa [[bara]] la [[Afrika]] na imepakana na nchi zifuatazo: upande wa [[kaskazini]] imepakana na nchi za [[Kenya]] na [[Uganda]], upande wa [[magharibi]] imepakana na nchi za [[Rwanda]], [[Burundi]] na [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], upande wa [[kusini]] kuna nchi za [[Zambia]], [[Malawi]] na [[Msumbiji]] wakati upande wa mashariki kuna [[Bahari ya Hindi]].
kwa upande wa kaskazini imepakana na nch za Kenya na Uganda, upande wa magharibi imepakana na nchi za Rwanda, Burundi na jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, upande wa kusini kuna nchi za Zambia, Malawi na Msumbiji wakati upande wa mashariki kuna [[Bahari ya Hindi]].
 
Tabia ya nchi ya Tanzania hubadilika kwa nyakati tofauti tofautitofautitofauti katika [[mwaka]].
*Tanzania hupata [[majira jaya joto]] katika [[Mwezi (wakati)|miezi]] ya [[Desemba]], [[Januari]] na [[Februari]]. Hata hivyo kiasi cha [[joto]] ni cha juu katika ukanda wa [[Pwani]] kuliko katika sehemu za [[nyanda za juu]] na [[Milima|milimani]]. Katika miezi hii [[jua]] la utosini huwa kwenye [[kizio cha kusini kwa]], hivyo Tanzania hupata joto zaidi.
 
*Katika miezi ya [[Juni]], [[Julai]] na [[Agosti]], kuna hali ya [[baridi]] kwa sababu wakati huu jua la utosini huwa katika [[kizio cha kaskazini]].
 
*Mvua za [[vuli]] hunyesha katika miezi ya [[Oktoba]], [[Novemba]] na [[Desemba]] na mvua za [[masika]] hunyesha katika miezi ya [[Machi]], [[Aprili]] na [[Mei]] ingawa zipo tofauti ndogo kati ya sehemu mbalimbali.
 
Hivyo kiasi cha mvua na halijoto husababisha tofauti za aina ya [[uoto wa asili]], [[udongo ]] na aina ya [[mazao]] yanayolimwa.
 
==Marejeo==
Vitabu vya Jiografia ya Tanzania
{{mbegu-jio}}
 
[[Jamii:Tanzania]]