Sarafu ya Bit : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Sarafu ya Bit''' (kwa [[Kiingereza]]: Bitcoin) ni mfumo wa malipo [[dijitali]] ambao unatumiwa na [[milioni|mamilioni]] ya [[watu]] bila [[msimamizi]] wa mkuujuu kama ilivyo [[Benki Kuu]] ilivyo katika nchi mbalimbali. [[Sarafu]] yahiyo Bithuweza ilianzishwakutumika nakwa mtukubadilishana asiyejulikanana au kikundi cha watusarafu chini ya jina lanyingine, [[Satoshi Nakamotobidhaa]] na kutolewa kamaau [[programu huriahuduma]] mwaka 2009.
 
Sarafu ya Bit ilianzishwa na mtu asiyejulikana au kikundi cha watu chini ya [[jina]] la [[Satoshi Nakamoto]] na kutolewa kama [[programu huria]] [[mwaka]] [[2009]]. Kuanzia [[Februari]] [[2015]], [[wafanyabiashara]] zaidi ya 100,000 wanakubali bitcoin kama malipo.
 
Sarafu hizi huweza kutumika kwa kubadilishana na sarafu nyingine, bidhaa au na huduma. Kuanzia Februari 2015, wafanyabiashara zaidi ya 100,000 na wanakubali bitcoin kama malipo. Kwa mujibu wa [[utafiti]] wa [[Chuo Kikuu cha Cambridge]] wa mwaka [[2017]], kuna watumiaji kati ya milioni 2.9 hadi 5.8 wanaotumia malipo dijitali na wengi wao wanatumia sarafu ya bit.<ref>https://www.jbs.cam.ac.uk/fileadmin/user_upload/research/centres/alternative-finance/downloads/2017-global-cryptocurrency-benchmarking-study.pdf</ref>
 
 
== Marejeo ==
<references />
 
== Viungo vya Njenje ==
 
== Viungo vya Nje ==
*[https://bitcoin.org/ Mradi wa Sarafu ya Bit]
*[https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/1/12/Bitcoin_explained_in_3_minutes.webm Video ya dakika tatu ikieleza maana ya srafu ya bit]
*[https://www.altcointradingsignal.com/understanding-blockchain-technology-2018-infographic/ Blockchain Infographic]
 
{{mbegu-uchumi}}
 
[[Jamii:Uchumi]]
 
[[Jamii:Sarafu]]
{{mbegu}}
[[Jamii:Kompyuta]]