'''Maya Yoshida''' (alizaliwa mnamo [[tarehe]] [[24 Agosti]] [[mwaka]] [[1988]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] wa Kijapani[[Japani]] ambaye hucheza katika [[klabu]] ya [[Southampton]] [[Ligi kuu ya Uingereza]] na [[timu ya taifa]] ya [[Japan]].
==Nagoya Grampus==
Alizaliwa [[Nagasaki]], Yoshida alikuwa mchezaji wa kujihami/ wakati akicheza timu ya vijana ya Grampus, Katika msimu wa [[2008]], alikuwa katika kikosi cha kwanza. Alifanikisha Nagoya Grampus katika Ligi ya Mabingwa ya AFC katika mchezo dhidi ya Ulsan Hyundai Horang- tarehe 10 Machi [[2009]].