Maana ya maisha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d →Asili na hatima ya ulimwengu: a better jpg |
||
Mstari 66:
===Asili na hatima ya ulimwengu===
[[File:CMB
Ingawa dhana ya [[Mlipuko mkuu]] ilipotolewa mara ya kwanza ilipambana na [[shaka]] kwa wingi, pia kutokana na uhusiano na imani ya dini ya [[uumbaji]], baadaye imekuja kuungwa mkono na [[uchunguzi]] kadhaa wa kujitegemea.<ref>{{cite book | author = Helge Kragh | title = Cosmology and Controversy | publisher = Princeton University Press | year = 1996 | isbn=069100546X}}</ref> Hata hivyo, [[fizikia]] ya sasa inaweza kuelezea tu ulimwengu ulivyokuwa mapema, [[sekunde]] 10 baada ya kutokea. [[Wanafizikia]] wengi wamedadisi nini inaweza kuwa imetangulia, na jinsi ulimwengu ulivyoanza.<ref name="Prantzos & Lyle">{{cite book |author=Nikos Prantzos; Stephen Lyle |title=Our Cosmic Future: Humanity's Fate in the Universe |publisher=Cambridge University Press |year=2000 |isbn=052177098X}}</ref> Baadhi ya wanafizikia hudhani kuwa Mlipuko mkuu ulitokea ki[[ajali]], na kanuni ya kianthropiki inapozingatiwa, mara nyingi hutafsiriwa kuashiria uwepo wa ulimwengu maridhawa.<ref name="Edwards">{{cite book |author=Rem B. Edwards |title=What Caused the Big Bang? |publisher=Rodopi |year=2001 |isbn=9042014075}}</ref>
|