Ngoma (muziki) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 23 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q537750 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Djembe.jpg|thumb|250px|Ngoma (''djembe'')]]
'''Ngoma''' inaowezainaweza kumaanisha [[muziki]] unaochezwanaunaochezwa na [[ala ya muziki]] inayoitwa [[ngoma (ala ya muziki)|ngoma]] pia.
 
Ngoma ni muziki na [[lugha]] ya pekee inayotumika kwa kuelezea [[utamaduni]] na [[historia]] ya nchi fulani, tunatumia lugha ya ngoma katika kuelezea hali mbalimbali za [[maisha]] yetu, kama vile [[huzuni]], [[furaha]], [[mapenzi]], kutia moyo[[faraja]], [[vitisho]], [[shukrani|shukurani]] na [[ushindi]].
 
BabuTangu zetuzamani [[Waafrika]] walikuwa na lugha hii ya ngoma ambayo tumeirithiilirithishwa kwa [[mapokeo]].

Ngoma pia ilitumika na [[jamii]] mbalimbali kama njia ya kuita [[watu]] kwenye kusanyiko muhimu, kama vile [[vita]], [[mkutano|mikutano]] nkn.k. na ilipigwa kwa milio tofauti kulingana na tukio.
 
{{mbegu-muziki}}