Naby Keita : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Naby Keita
(Hakuna tofauti)

Pitio la 12:41, 10 Agosti 2018

Naby Laye Keïta Naby Keita (aliyezaliwa 10 Februari 1995) ni mchezaji wa soka wa Guinea ambaye anacheza kama kiungo wa katikati wa klabu ya Ligi Kuu Uingereza Liverpool na ndiye kapteni wa timu ya taifa ya Guinea iliyopo barani Africa. [[Jamii:]]