Wikipedia:Sanduku la mchanga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 20:
Akiwa miaka sita aliponea chupu chupu kutekwa nyara na [[waasi]] wa kivita na mda mfupi baadaye alikimbilia Marekani kama [[mkimbizi]] asiye na kibali. Alikimbilia Jacksonville na kuungana na baadhi ya wanafamilia wake waliokuwa wamemtangulia na kujiunga na shule za marekani.<ref name=":2" />
Shuleni MB Salone alikuwa na wakati mgumu na hakuhitimu mitihani yake. Mara kwa mara alijipata taambani tokana na uchechi wake na utovu wa nidhamu uliochangia pakubwa kufeli mitihani.<ref name=":4" /> Akiwa darasa la saba unga ulizidi maji na akatiwa mbaroni alipoiba duka la Target [[Jacksonville, Florida]] Shauku yake ya muziki ilikuwa inakita mizizi na mwaka wa 2007 akiwa shule ya upili ya Wolfson mle Jacksonville Florida alikuwa ashaanza kutengeneza mindondo ya R&B and Trap. Kwa bahati mbaya uundaji wa midundo ulikuwa unachukua muda wake mwingi na masomo yake shuleni yaliendelea kudidimia na hatimaye alifukuzwa shuleni akiwa mwaka wake wa mwisho kwa
== Utayarishaji Rekodi ==
|