Somalia ya Kiingereza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
svg version (GlobalReplace v0.6.5)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Somaliland in its region (de-facto).svg|thumb|300px|Mahali pa Somalia ya Kiingereza]]
'''Somalia ya Kiingereza''' (kwa [[Kiingereza]]: '''British Somaliland''') ilikuwa [[eneo lindwa]] la [[Uingereza]] katika [[Somalia]] ya Kaskazini.
 
''Somalia ya Kiingereza''' au '''British Somaliland''' ilikuwa [[eneo lindwa]] la [[Uingereza]] katika [[Somalia]] ya Kaskazini. Eneo lake lilikuwa tangu [[1961]] sehemu ya Jamhuri ya Somalia na tangu [[1991]] limekuwa Jamhuri ya [[Somaliland]] yaani nchi isiyotambuliwa na umma wa kimataifa lakini yenye tabia zote za [[nchi huru]].
 
== Historia==
===Koloni mwaka 1884/1885 ===
Uingereza uliingia katika eneo hili baada ya [[Misri]] kuondoka mwaka [[1885]] baada yakwa kushindwa na [[jeshi]] la [[Mahdi]] huko [[Sudan]]. Uingereza uliingia kwa sababu iliona umuhimu wa kutawala pande zote [[mbili]] za [[Bab el Mandeb]] ikihofia uenezaji wa nchi nyingine za [[Ulaya]], hasa [[Ufaransa]] iliyokuwa na [[koloni]] yala kwanza ya Ubuk (Obok) katika [[DjiboutiJibuti]] ya leo tangu [[1862]]. Pamoja na hayo [[Waingereza]] walitegemea kununua [[nyama]] kwa ajili ya [[mji]] wa [[Aden]] na [[meli]] zilizopita hapo kati ya [[Uhindi]] na Ulaya.
 
Somaliland ilitawaliwa awali kama [[mkoa]] wa [[Uhindi wa Kiingereza]] ikawa baadaye chini ya [[wizara ya kolonimakoloni]] huko [[London]].
 
== =Upinzani wa Mohammed Abdullah Hassan ===
Hata kama Uingereza haukuwa na nia ya kuingilia mno katika [[maisha]] ya wenyeji ulikutana na upinzani mkali kuanzia mwaka [[1899]]. [[Kiongozi]] wa kidini[[dini]] [[Mohammed Abdullah Hassan]], aliyeitwa na Waingereza "Mullah majununi". Waingereza walijibu kwa ukaliukatili katika [[vita]] yavya miaka 20 iliyoua takriban [[theluthi]] moja waya wakazi wote wa eneo.
 
Mwishowe Uingereza iliweza kumaliza upinzani kwa [[teknolojia]] mpya ya [[eropleni]] [[ndege za kijeshi|za kijeshi]] zilizotumia [[mabomu]] na [[bunduki za mtombo]] kutoka [[Anga|angani]] kwa mara ya kwanza katika [[Afrika]].
 
== =Vita Kuu ya Pili ya Dunia na uhuru ===
Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia eneo likatwaliwa na Italia katika Agosti 1940 lakini kuchukuliwa tena na Uingereza katika Machi 1941.
 
===Uhuru na muungano===
Uhuru ulifika [[26 Juni]] [[1960]]. Tar. 1 Julai kulitokea muungano na [[Somalia ya Kiitalia]] iliyopokea uhuru wake pia.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] eneo likatwaliwa na [[Italia]] katika [[Agosti]] [[1940]] lakini kuchukuliwalilichukuliwa tena na Uingereza katika [[Machi]] [[1941]].
 
[[Uhuru]] ulifikaulipatikana [[tarehe]] [[26 Juni]] [[1960]]., Tar.lakini tarehe [[1 Julai]] kulitokea [[muungano]] na [[Somalia ya Kiitalia]] iliyopokeailiyokuwa imepata uhuru wake pia.
== Nchi ya pekee ==
 
Baada ya kuporomoka kwa serikali ya Somalia eneo la Somalia ya Kiingereza la awali likatangaza uhuru wake Mei 1991 kama Jamhuri ya Somaliland.
=== Nchi ya pekee ===
Baada ya kuporomoka kwa [[serikali]] ya [[Somalia]], sehemu kubwa ya eneo la Somalia ya Kiingereza la awali likatangazaikatangaza uhuru wake mnamo [[Mei]] [[1991]] kama Jamhuri ya Somaliland.
 
[[Jamii:Historia ya Somalia]]