Marcian : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|right|Kaizari Markian '''Markian''' (396 – 2 Januari, 457) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka wa 450, alipom... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:32, 7 Januari 2008
Markian (396 – 2 Januari, 457) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka wa 450, alipomwoa Pulcheria, dada wa marehemu Kaizari Theodosius II, hadi kifo chake. Alifuatiliwa na Leo I.
Tazamia pia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |