Ghafi ya tani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Tani GT'''
Umuhimu wa tani GT ni ya kwamba [[kodi]] na [[malipo]] kwa ajili ya meli hufuata kipimo hiki kama vile kodi za kutumia mifereji ([[mfereji wa Suez|Suez]], [[mfereji wa Panama|Panama]]) au kukaa [[Bandari|bandarini]].
Tani GT zinataja mjao wa nafasi yote ya ndani
Lakini si mjao huu pekee yake. [[Idadi]] ya [[mita]] za mjao inazidishwa kwa [[namba]] inayotegemea ukubwa wa meli iko kati ya 0,22 na 0,32; yaani hali halisi [[asilimia]] 22 hadi 32 ya mjao inahesabiwa kuwa tani GT. Meli ndogo zinapata makadirio nafuu yaani ya asilimia 22 au karibu nayo halafu meli
Meli yenye mjao wa [[mita za ujazo]] 10,000 inazidishwa na namba 0,28 hivyo kukadiriwa kuwa na tani GT 2,800.
[[Jamii:Vipimo sanifu vya kimataifa]]
[[Jamii:Uchumi]]
[[Jamii:Meli]]
|