Jennifer Bash : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Jennifer Bash''' ni mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania.Mwanamke huyu ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa '''AKTZ Industries Ltd''' inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya '''Alaska Tanzania'''<ref>http://www.thecitizen.co.tz/magazine/woman/Supporting-local-farmers/1843796-3183222-ajsmfd/index.html</ref>.Kutokana na jitihada zake katika ujasiriamali,alifanikiwa kuzawadia tunzo na kampuni ya utangazaji ya Clouds Media Group mwaka 2016 kama mwanamke aliyefanikiwa katika biashara ya kilimo.
Line 33 ⟶ 5:
==marejeo==
▲[[Category:Wiki loves Women Tanzania]]
|