Carolyne Ekyarisiima : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Carolyne Ekyarisiima''' (amezaliwa tar.) ni mwasisi wa [[shirika]] lisilokuwa la kiserikali la '''''apps and girls''''' lenye malengo ya kuongeza idadi ya wanawake kutumia Teknohoma kutengeneza miradi ya kusaidia jamii zao<ref> https://www.dailynews.co.tz/news/uwekezaji-katika-teknolojia-ya-mawasiliano-kwa-wanawake-ni-muhimu.aspx </ref> .
Kupitia taasisi yake ya ''apps and girls'' anatoa semina na mafunzo mbalimbali kwa wanafunzi waliopo katika shule za sekondari, pia ameanzisha klabu za kujifunza mambo ya teknolojia katika mashule ,ambapo kupitia klabu hizi wanafunzi hukutana kujifunza na kushirikishana mambo mbalimbali yahusuyo teknohama.
Wasichana wameweza kujifunza namna ya kutengeneza tovuti ,programu za kwenye simu janja na pia wanajifunza namna ya kuweza kujieleza mbele ya wafadhili wanapokuwa wanataka kuomba pesa kwa ajili ya kuendeleza programu zao .<ref> https://qz.com/africa/1214051/how-tanzania-is-betting-on-coding-to-help-close-the-gender-gap-in-its-tech-sector/ </ref>
 
===Maisha yake===
 
 
 
 
 
===Elimu yake===
 
 
Line 15 ⟶ 9:
 
 
===Elimu yake===
{| style="font-size:90%; width: 65%; padding: 3px; margin: 0 auto;" class=toccolours
|-
| [[Picha:People.svg|30px| ]]
|Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni '''mbegu'''. <br> Je, unajua kitu kuhusu '''{{FULLPAGENAME}}''' kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? <br />Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? <br />Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa [{{SERVER}}/w/index.php?stub&title={{FULLPAGENAMEE}}&action=edit kuihariri na kuongeza habari]''.
|}<includeonly>[[Jamii:Mbegu za watu]]</includeonly><noinclude>[[Jamii:Mbegu za watu| ]]
</noinclude><noinclude></noinclude>
 
==Marejeo==
{{reflist}}
[[Jamii:Wiki Loves Women Tanzania]]
[[Jamii:Vigezo vya mbegu]]
[[Jamii:Wanawake wa Tanzania]]
[[Jamii:Wanawake maarufu Tanzania]]