Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 15:
== Kwa Kipala ==
Ni mambo mengi sana sielewi. Haswa likija swala la majadiliano. Sijui hata kama nafanya vizuri saa hii nikihariri hapa. Kwanza nimeona kuwa nikiandika makala mapya, kuna wengine wanaongeza jamii ya makala hayo. Ningependa kujua jinsi ya kuongeza jamii hizo. Pili, ni vipi, majina yenu yanavyokuwa na rangi ya buluu. Ningependa kujua na kuonyeshwa nanyi [Hreflafa]
 
::Naona umeleta makala ya mauzo dijitali. Maombi 2: 1) usisahau kuipanga katika Jamii. Hapa unatafakari kwanza inaingia jamii gani (hii: labda '''Jamii:Biashara'''). 2) uiwekee katika Interwiki yaani kuiunganisha na makala mengine kuhusu maada hii kwa lugha tofauti (kama yapo). Hapa unapeleleza kwanza ni makala gani inayolingana kwa Kiingereza (labda ulitumia makala ya Kiingereza na kutafsiri sehemu zake?). Halafu angalia upande wa kushoto chini kwenye desktop utaona "Lugha" na "Add links". Bofya '''Add links''' halafu unapata madirisha mawili; juu andika '''enwiki''' na thibitisha "English (enwiki)", chini yake andika jina la makala ya Kiingereza halafu thibitisha. Ukiwa na swali, uniulize. '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 08:33, 10 Septemba 2018 (UTC)