Carolyne Ekyarisiima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Carolyne Ekyarisiima''' (amezaliwa tar 20,
Kupitia taasisi yake ya ''apps and girls'' anatoa semina na mafunzo mbalimbali kwa wanafunzi waliopo katika shule za sekondari, pia ameanzisha klabu za kujifunza mambo ya [[teknolojia]] katika mashule ,ambapo kupitia klabu hizi wanafunzi hukutana kujifunza na kushirikishana mambo mbalimbali yahusuyo teknohama.
Wasichana wameweza kujifunza namna ya kutengeneza tovuti ,programu za kwenye simu janja na pia wanajifunza namna ya kuweza kujieleza mbele ya wafadhili wanapokuwa wanataka kuomba pesa kwa ajili ya kuendeleza programu zao .<ref> https://qz.com/africa/1214051/how-tanzania-is-betting-on-coding-to-help-close-the-gender-gap-in-its-tech-sector/ </ref>
==Maisha yake==
Mstari 7:
==Elimu yake==
'''Carolyne''' ana shahada ya sayansi ya kompyuta na shahada ya uzamili ya mifumo ya habari(
==Tuzo Mbalimbali==
aliweza kutajwa kama mmoja wa wavumbuzi bora 20 wa mwaka,waliokuwa wakiwania tuzo hiyo(innovator of the year award)inayo tolewa na '''AIDF''' <ref>http://africa.aidforum.org/news/innovator-of-the-year-award-finalists-announced</ref>
|