Ubinafsi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Added neutral tone Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 1:
[[File:Stirner02.jpg|thumb|right|[[Kibonzo]] cha [[Max Stirner]] kilichochorwa na [[Friedrich Engels]]. Stirner alisifu sana ubinafsi.]]
'''Ubinafsi''' (kwa [[Kiingereza]] "individualism") ni
Tabia hiyo imeanza kushika duniani baada ya maendeleo ya kiuchumi mengi. Hali hii inaleta hali ya maisha ambapo watu hawategemeani sana. Katika mataifa ya magharibi, wanafalsafa walikuza ubinafsi kama ukuu kwa utamaduni wao. Hasa katika karne ya 17 mpaka 19, watu walianza kushikilia ubinafsi kwenye enzi ya "great enlightenment."
Bila shaka ubinafsi umesaidia watu kufikiria kibinafsi na umechangia sana kwa masomo fulani. Lakini pia inaweza kuleta matatizo ya jamii ama kuonekana kama uchoyo. Siku hizi nchi za magharibi zinaelezewa kama zile zenye ubinafsi zaidi. Inasemekana mara kwa mara ya kwamba watu wa magharibi wana huzuni zaidi hata mpaka mataifa hayo yanajaribu kushugulikia watu wao wasisikie upwekwe ama wasifikirie kujiua.
Nchi zingine ama dini zinakosoa ubinafsi
Hata hivyo katika [[historia]] imepewa sifa na [[wanafalsafa]] na [[wanasiasa]] kadhaa.
|