'''Ubinafsi''' (kwa [[Kiingereza]] "individualism") ni mazoea ya kutotegemea wengine na kujifuatilia maishani.
Tabia hiyo imeanza kushika duniani baada ya maendeleo ya kiuchumi mengi. Halihiiambayo inaletayalileta hali ya maisha ambapo watu hawategemeanihawakuegemeana sana. Katika mataifa ya magharibi, wanafalsafa walikuzawalisifia ubinafsi kama ukuu kwa utamaduni wao. Hasa katika karne ya 17 mpaka 19, watu walianza kushikilia ubinafsi kwenye enzi ya "great enlightenment."
Bila shaka ubinafsi umesaidia watu kufikiria kibinafsi na umechangialabda sanaulichangia kwa masomo fulaniutendaji. Lakini pia inaweza kuleta matatizo ya jamii, amana pia kuonekana kama uchoyo. Siku hizi nchi za magharibi zinaelezewa kama zile zenye ubinafsi zaidi. Inasemekana mara kwa mara ya kwamba watu wa magharibi wana huzuni zaidi hata mpaka mataifa hayo yanajaribu kushugulikia watu wao wasisikie upwekwe ama wasifikirie kujiua.
NchiBaadhi zingineza amanchi na dini zinakosoa ubinafsi
Hata hivyo katika [[historia]] imepewa sifa na [[wanafalsafa]] na [[wanasiasa]] kadhaa.