Ibn Battuta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d The file Image:IbnBattuta.jpg has been replaced by Image:Harîrî_Schefer_-_BNF_Ar5847_f.51.jpg by administrator commons:User:Ymblanter: ''File renamed: #5 obvious error, not ibn Battuta''. ''[[m:User:CommonsDelinker|T... |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Harîrî_Schefer_-_BNF_Ar5847_f.51.jpg|right|220px|]]
'''Abu Abdullah Muhammad Ibn Battuta''' (kwa [[
==Maisha==
Alizaliwa tarehe [[24 Februari]] [[1304]] mjini [[Tanger]] ([[Moroko]]). Mwaka 1325 alihiji kwenda [[Makka]] na baada ya [[hajj]] hakurudi bali aliendelea kusafiri. Alitembelea karibu nchi zote zilizokaliwa na Waislamu. Kwa jumla alisafiri kwa miaka 30 akivuka umbali wa karibu km 120,000 (hii ni kama kuzunguka dunia yote mara tatu).▼
Alizaliwa [[tarehe]] [[24 Februari]] [[1304]] [[Mji|mjini]] [[Tanger]] ([[Moroko]]).
▲
Habari zake zimepatikana katika taarifa yake aliyoiandika mwenyewe.
Katika safari yake ya kwanza alikwenda [[Makka]] kupitia [[Misri]], [[Yerusalemu]] na [[Dameski]]. Baada ya kumaliza [[hajj]] akajiunga na [[msafara]] kwenda [[Baghdad]] akaona [[ufalme]] wa [[Khan wa Il]] na kutembelea [[Uajemi]] kabla ya kurudi Moroko.
Safari yake ya pili ilianza tena kama hajj na safari hii akaendelea kuangalia maeneo ya [[Bahari ya Shamu]] na [[pwani]] ya [[Afrika ya Mashariki]]. Akafika hadi [[Kilwa]], kisha akarudi Makka kupitia [[Omani]].
Baada ya kupumzika Makka alikata shauri kuona [[himaya]] ya
Aliamua kujaribu njia kupita [[Uturuki]] kwa sababu alisikia ya kwamba palikuwa na misafara kati ya Waturuki [[Waseldjuki]] na Uhindi. Baada ya kuvuka [[Bahari Nyeusi]] alifika katika milki ya [[Kundi la Dhahabu]] akaendelea katika msafara wa [[Khan]] wa nchi. Alipofika mji mkuu [[Astrakhan]] aliombwa na Khan wa Kundi la Dhahabu mwenyewe kumsindikiza mke wake aliyetaka kutembela nduguye nyumbani kwake [[Konstantinopoli]]. Hivyo Ibn Battuta alifika mara ya kwanza katika nchi nje ya Waislamu.▼
▲Aliamua kujaribu njia kupita [[Uturuki]] kwa sababu alisikia ya kwamba palikuwa na misafara kati ya [[Waturuki]] [[Waseldjuki]] na [[Uhindi]]. Baada ya kuvuka [[Bahari Nyeusi]] alifika katika [[milki]] ya [[Kundi la Dhahabu]] akaendelea katika msafara wa [[Khan]] wa nchi.
Mwishowe alifika Uhindi ambapo alipewa kazi ya [[qadi]] au hakimu. Baada ya miaka kadhaa akatumwa kama balozi wa sultani kwenda [[China]]. Akisafiri kwa jahazi alipita nchi na visiwa vya Asia ya Kusini-Magharibi hadi China.▼
Mwishowe alifika Uhindi ambapo alipewa kazi ya [[qadi]] au [[hakimu]].
▲
Kutoka hapa alirudi Moroko kupitia Makka.
Line 19 ⟶ 25:
Safari za baadaye zikampeleka hadi Afrika ya Magharibi alipotembelea ufalme wa [[Mali]].
Ibn Battuta aliaga [[dunia]] mnamo [[1377]] huko Moroko.
{{BD|1304|1377}}
[[Jamii:Wapelelezi wa Afrika]]
[[Jamii:
[[Jamii:Wapelelezi kutoka Moroko]]
|