Hija : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 17:
*1. Uislamu. Hijja haimlazimu kafiri, na akihiji haisihi hijja yake.
*2. Kuwa na akili. Hija haimlazimu mwendawazimu, kwa neno lake ﷺ: (Watu watatu hawaandikiwi dhambi: aliyelala mpaka azunduke, mtoto mapaka abaleghe na mwendawazimu mpaka apate akili) [Imepokewa na Abu Daud.].
*3. Kubaleghe. Hijja haimlazimu mtoto mdogo, na lau mtoto mdogo atahirimia hija basi hija yake itasihi. Lakini haimtoshelezi na Hijja ya Uislamu, na itahesabiwa ni Sunna. Hii ni kwa hadithi ya Ibnu ‹Abbas t kwamba mwanamke mmoja alimuinulia Mtume wa Mwenyezi Mungu
*4. Uhuru. Hijja haimlazimu mtumwa, kwa kuwa Mtume
*5. Uwezo. Nao ni kuwa na matumizi [
▲Hijja haimlazimu mtumwa, kwa kuwa Mtume ﷺ amesema: (Mtumwa yoyote aliyehiji kisha akaachwa huru, basi itamlazimu Hija nyingine) [Imepokewa na Muslim.].
*6. Kuweko na maharimu. [Mahram: ni yule ambaye ni haramu kwa mwanamke kuolewa naye kama baba, ndugu na mjomba.] ya Mwanamke. Kwa hadithi ya Ibnu ‹Abbas t kuwa alisema: Nilimsikia Mtume akisema: (Hasafiri mwanamke isipokuwa pamoja na mtu maharimu yake). Akainuka mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mke wangu ametoka kwenda kuhiji, na mimi nimejisajili katika vita kadha na kadha. Akasema Mtume
▲Nao ni kuwa na matumizi [ Zaad: Vitu anvyovihitajia kama chakula, kinywaji na mavazi.] na kipando [ Raahilah: Kipando anachokipanda kama gari au ndege au meli..], kwa neno lake Mwenyezi Mungu U: {Ni haki ya Mwenyezi Mungu juu ya watu waikusudie Alkaba kwa ibada ya Hija kwa anayeweza kwenda huko} [3: 97]
▲Akainuka mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mke wangu ametoka kwenda kuhiji, na mimi nimejisajili katika vita kadha na kadha. Akasema Mtume ﷺ: (Toka uende kuhiji na mkeo) [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]
==Jina==
|