Shirikisho la Afrika ya Kati : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
File renamed. (GlobalReplace v0.6.5) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Flag of the Federation of Rhodesia and Nyasaland (1953–1963).svg|thumb|200px|Bendera ya Shirikisho la Afrika ya Kati]]
[[Image:CAF-map-2.png|thumb|200px|Eneo la Shirikisho la Afrika ya Kati]]
'''Shirikisho la Afrika ya Kati'''
Ilipatikana kati ya 1953 hadi mwisho wa 1963.▼
Shirikisho lilianzishwa 1. 08. 1953 kwa shabaha ya kuunda nchi itakayofuata njia kati ya muundo wa ubaguzi wa rangi ya [[Afrika Kusini]] upande mmoja na nchi huru zilizotawaliwa na wanasiasa Waafrika wenye mwelekeo wa Ujamaa. Ilikuwa jaribio la kutunza kipaumbele wa walowezi wa asili ya [[Ulaya]]. ▼
▲Shirikisho lilianzishwa tarehe [[1
Mwisho ulikaribia baada ya miendo ya kumaliza ukoloni [[duniani]] kote na nguvu ya wawakilishi wa Waafrika katika eneo la [[shirikisho]] iliongezeka nguvu.
Mwisho wa mwaka 1963 Rhodesia ya Kaskazini ilikuwa [[taifa]] jipya la [[Zambia]] na Unyasa (Nyassaland) ikawa [[Malawi]].
[[Rhodesia ya Kusini]] ilibaki peke yake ikitangaza [[uhuru]] wake miaka kadhaa baadaye na baada ya [[vita vya ukombozi]] kuwa nchi ya [[Zimbabwe]].
{{mbegu-siasa}}
[[Jamii:Historia ya Malawi]]
[[Jamii:Historia ya Zambia]]
|