National Rainbow Coalition : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d kurekebisha herufi tu |
||
Mstari 4:
Ilikuwa maungano wa vyama mbalimbali vya upinzani dhidi ya [[KANU]] na rais [[Daniel arap Moi]]. Ilikuwa hasa na pande mbili:
*vyama vya [[National Alliance Party of Kenya]] (NAK) iliyounganisha [[Democratic Party (Kenya)|Democratic Party]] ya [[Mwai Kibaki]] , [[Ford-Kenya]] chini ya [[Michael Wamalwa]] na NPK chini ya [[Charity Ngilu]] pamoja na vyama vidogo mbalimbali
* Chama cha [[LDP (Kenya)|LDP]] kilichounganisha wanasiasa walioondoka katika KANU baada ya [[Uhuru Kenyatta]] kutangaziwa kuwa mgombea wa urais. Kati yao walikuwa hasa Raila Odinga na wanachama wa awali wa NDP,
==Memorandum of Understanding==
Mstari 15:
==Ushindi na mwanzo wa farakano==
NARC ikashinda uchaguzi wa 2002 na Kibaki akawa rais mpya. LDP ilikuwa na wabunge wengi kati ya vyama vya NARC. Lakini Kibaki hakutekeleza azimio la pamoja katika ''Memorandum of Understanding'' kupatia LDP nusu ya mawaziri wala kuwezesha mabadiliko ya katiba ya kumpa Odinga nafasi ya waziri mkuu.
LDP iliendelea kudai mapatano yafuatwe, ikakataliwa na
==NARC kutoshikamana kuhusu katiba 2005==
Katika miaka iliyofuata farakano ilikua. Mwaka 2005 Kibaki alijaribu kupitisha katiba mpya
==Kuondoka kwa LDP==
Mstari 30:
==Mabaki ya NARC==
Kiongozi wa kisheria alikuwa [[Charity Ngilu]]
Ngilu aliamua Septemba 2007 kusimama upande wa Raila Odinga. Katika
|