Mkopo (fedha) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Mkopo''' wa kifedha ni [[pesa]] anazopewa mtu au [[shirika]] kama [[deni]] na [[benki]], asasi ya fedha ya ushirika (SACCO)<ref>{{Cite journal|last=Lunyeka|first=Saulo P.|last2=Nzuki|first2=Margreth P.|last3=Hassan|first3=Abdallah K.|date=April, 2005|others=Uploaded by Fpct Shelui|title=Mwongozo wa Mafunzo ya Uimarishaji wa Ushirika wa Akiba na Mikopo, Elimu ya Ujasiriamali na Stadi za Biashara Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii|url=http://www.academia.edu/27896651/Mwongozo_wa_Mafunzo_ya_Uimarishaji_wa_Ushirika_wa_Akiba_na_Mikopo_Elimu_ya_Ujasiriamali_na_Stadi_za_Biashara_Taasisi_ya_Tafiti_za_Kiuchumi_na_Kijamii|format=PDF|journal=Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS|language=sw|publisher=Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii|volume=|page=1|pages=|isbn=978 - 9987 - 770 - 03 - 8|access-date=2018-10-15|via=Academia}}</ref>, kundi au mashirkamashirika mengine yarioidhinishwa kukopeshakufanya biashara ya [[fedha]].<ref>{{Cite journal|last=Kenya|first=Bankers Association|date=Novemba, 2012|others=Contributions by: Habil Olaka, Bernadette Ngara, Fidelis Muia, William Maiyo, Bhaskar Kalyan, Kariuki Waihenya, Kristopher Kinyanjui, Abdia Dabaso, Hannah W. Ndarwa.
Kiswahili translation by Shaban Ulaya
Page design and layout by Conrad Karume|title=Mwongozo wa Mteja katika shughuli za benki nchini Kenya; Matarajio ya desturi ya shughuli za benki kama yalivyokusanywa na chama cha wenye mabenki nchini Kenya|url=https://www.sc.com/ke/_pdf/KBA%20C.%20GUIDE%20SWAHILI.pdf|journal=Mwongozo wa mteja wa KBA|location=Nairobi, Kenya|publisher=Chama cha wenye mabenki nchini (Kenya Bankers Association)|volume=Toleo la 2|page=16-19|pages=|at=Sehemu ya 5: Mikopo ya benki na mikopo mingine|access-date=2018-10-15|via=}}</ref> Anaye pata mkopo huwa na deni analofaa kulipa kulingana na makubariano rasmi yake na anayemkopesha. Deni hili linaweza kuwa [[karadha]]<ref>{{Cite web|url=http://learn.e-limu.org/topic/view/?c=192|title=Msamiati: Malipo|author=eLimu|language=en|work=learn.e-limu.org|publisher=eLimu eLearning Company Limited.|accessdate=2018-10-15}}</ref> au mkopamkopo unaolipwa na [[riba]]<ref>{{Cite web|url=http://swa.gafkosoft.com/msamiati_wa_malipo|title=Msamiati wa Malipo|author=Paneli la Kiswahili|language=sw|work=swa.gafkosoft.com|publisher=Gafkosoft|accessdate=2018-10-15}}</ref>. Riba diyondiyo faida ya mashirika kama benki yanayo fanya biashara ya ukopeshaji.
 
== Aina za mikopo==
Mstari 7:
 
===Aina ya mikopo kulingana na yanayohitajika ===
* Mkopo wa dhamana - ni mkopo unaohitaji anayekopa kua na raslimali kama dhamana ya mkopo. Kv. mkopo kutoka kwa benki na Asasi ya fedha ya ushirika (SACCO).
* mkopo usio na dhama - ni mkopo usio hitaji anayekopa kuwa na raslimali ama dhamana ya mkopo kv. mkopo kutoka kwa marafiki na jamii.
 
Mstari 14:
 
===Aina ya mikopo kulingana lengo la matumizi===
Mashirika tofauti pia hupeana mikopo ya kazi tofauti tofauti ikiwemo:-
* Mkopo wa kilimo
* Mkopo wa biashara
Mstari 22:
* Mkopo wa ardhi na raslimali zingine
* Mkopo wa matumizi ya mtu binafsi
* Mkopo wa kulimakulipa mikopo ingine (ujulikanao kwa kingereza kama consolidation loan)
* Mkopo wa siku mbaya - huu ni mkopo wa hapo kwa hapo wa siku mbaya wakati mtu anahitaji pesa za dharura (ujulikanao kwa Kingereza kama payday loans).