Delta : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d →‎Delta ya barani: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|it}} using AWB (10903)
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Nile River and delta from orbit.jpg|thumb|right|300px|Delta ya [[Mto Nile]] inavyoonekana kutoka angani - picha ya [[NASA]]]]
'''Delta''' ni(kutoka [[jina]] kwala ajili[[herufi]] ya [[alfabeti ya Kigiriki]]) ni [[mdomo]] wa [[mto]] ukiwa nawenye [[umbo la]] la kufanana na [[delta (herufi)|herufi ya Kigiriki Δ]] (=delta) sawa na [[pembetatu]].
 
== Kutokea kwa delta ya mto ==
Umbo hili hutokea kama [[maji]] ya mto yanabeba [[matope]], [[mchanga]] na [[mashapo]] mengine hadi mdomo wake [[bahari|baharini]] au [[Ziwa|ziwani]]. Maji ya mto yakiingia baharini hupunguahupunguza mwendo wake piana [[nguvu]] ya kubeba yaliyomo ndani yake. Mashapo yanashuka chini: kwanza sehemu zake nzito nzitonzitonzito kama [[changarawe]], halafu mchanga, halafu [[udongo]]. Mashapo hayahayo yanalazwayanalala [[ganda]] baada ya ganda na kuimarika hadi kuonekana juu ya [[uwiano wa maji]]. Sehemu hizihizo za mashapo yaliyoimarika zinakuwa kama kizuizi kinacholazimisha mto kugawa mwendo wake. Kwa njia hii [[mikono]] mbalimbali inatokea. [[Mimea]] inaanza kukua kwenye nchi mpya ikiwa [[mizizi]] yao inashika na kuimarisha nchi hii.
 
Mto unaendelea kupeleka mishapo yake mdomoni na kujenga delta yake ndani ya bahari jinsi inavyoonekana kwenye [[mto Nile]] ambako delta imetoka nje ya [[mstari]] wa [[pwani]].
 
Ikiwa bahari ina tofauti kubwa kati ya [[maji kujaa na kupwa]] mdomoni wamwa mto tena bahari haina [[kina]] kubwa hutokea mlango wa mto mwenyewenye umbo la V (kama faneli) kwa sababu mwendo wa maji kujaa na kupwa unazuia kutelemka na kuimarika kwa mashapo.
 
== Mito mikubwa yenye mdomo wa delta ==
Pamoja na mto Nile kuna mito mingi mikubwa yenye mdomo wa delta:
* [[Afrika]] kuna delta ya [[mto Niger]] katika [[Nigeria]] na ya [[mto Zambezi]] katika [[Msumbiji]]
* [[mto Zambezi]] katika [[Msumbiji]]
* [[Amerika]] kuna delta za [[Amazonas]] ([[Brazil]]) na [[Mississippi]] ([[Marekani]])
* [[Asia]] ina delta kubwa za [[TigrisTigri]]-Euphrates[[Eufrate]] ([[Irak]]), [[Indus]] ([[Pakistan]]), [[Ganga]]/[[Brahmaputra]] ([[India]] na [[Bangladesh]]), [[Krishna-Godavari]] na [[Kaveri]] ([[India]]), [[Ayeyarwady]] ([[Myanmar]]), Mekong ([[Vietnam]]) na [[Yangtse]] ([[Uchina]]).
* [[Ulaya]] kuna delta kubwa za [[Rhine]] ([[Uholanzi]]), [[Rhone]] ([[Ufaransa]]), [[Danubi]] ([[Romania]]), [[Ebro]] ([[Hispania]]), [[Volga]] na [[Lena]] ([[Urusi]])
 
 
== Delta ya barani ==
[[Picha:Saddle-billed-storks-in-Okawango-delta.jpg|thumb|[[Korongo Domo-ngazi]] wawili kwenye mkono moja wa delta ya barani ya Okavango.]]
Wakati mwingine delta inatokea [[Bara|barani]] pasipo na bahari. Kuna hasa aina [[mbili]]: ama mto unakwisha barani (hasa kama ni [[jangwa]]) au mto unaendelea.
 
Huko [[Mali]] kuna delta ya barani ya mto Niger; mto unajigawa kwa mikono mbalimbali katika eneo kubwa la maziwa na maeneo ya matopematope.
 
Mto wa [[Okavango]] unakwisha kwenye delta yake katika jangwa la [[Kalahari]] ([[Botswana]]). Delta hii ni eneo lenye mimea na [[wanyama]] wengi katikati ya jangwa kubwa. Delta inavuta [[watalii]] wengi kila [[mwaka]].
{{mbegu-jio}}
 
[[Jamii:Jiografia]]
[[Jamii:Mito]]