Kitabu cha Pili cha Wafalme : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 28 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q209746 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 2:
==Historia ya kitabu==
Zamani kilikuwa kitabu kimoja
▲Zamani kilikuwa kitabu kimoja pamoja na [[Wafalme I]] lakini katika [[Septuaginta]] viligawiwa. Wataalamu huamini hii ilitokea kutokana na urefu wa kitabu si kwa sababu za yaliyomo au mpangilio.
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
==Yaliyomo==
Kinasimulia habari za sehemu mbili za [[Israel ya Kale]] baada ya ugawaji wa [[milki]] yaani▼
*[[Ufalme wa Israeli]] katika [[kaskazini]] kuanzia [[mfalme]] [[Ahazia]] hadi mwisho wake wakati wa mfalme [[Hoshea]] na kuchukuliwa [[Utumwa|utumwani]] kwa [[Kabila|makabila]] ya kaskazini na [[Waashuri]].
▲Kinasimulia habari za sehemu mbili za [[Israel ya Kale]] baada ya ugawaji wa milki yaani
*[[Ufalme wa
==Viungo vya nje==
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/2King/ Kitabu cha Pili cha Wafalme katika Biblia (Union Version)]
{{Biblia AK}}▼
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]
▲{{Biblia AK}}
|