Catherine Ruge : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
 
==Harakati za kisiasa==
Alijiunga na Chadema mwaka 2010 na ilipofika mwaka 2013 mwishoni alianza rasmi harakati za siasa.Alianza kwa kuogombeakugombea nafasi ya katibu wa rasilimali fedha Kanda ya Serengeti na kushinda.<ref>http://www.mwananchi.co.tz/habari/Mbunge-mpya-Chadema-azungumzia-mikakati-yake/1597578-3916058-ohyr2mz/index.html</ref>
 
Tarehe 04 Mei, 2017 aliteuliwa na NEC kuwa Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya chama cha CHADEMA kwa kuchukua nafasi ya Dr Elly Marco Macha.<ref>http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/tume-ya-uchaguzi-yamteua-ndg-catherine-ruge-kuwa-mbunge-wa-viti-maalum-chadema</ref>