Cannabidiol : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 25:
Chakula na vinywaji vyenye cbd oil vilianza kuingia nchini Marekani mwaka wa 2017. Hata hivyo kuna wale wanaouza cbd oil bila ya wanunuzi kujua kuwa chakula walichokinunua kina cannabidiol na wamepata barua za onyo kutoka shirika la Food and Drug Administration (FDA). Pia kuna wanaodondoa cbd oil kutoka kwa hemp plant au cannabis kwa njia isiyokubalika.
FDA
=== Njia ya kudondoa ===▼
Muundo wa kudondoa cannabidiol kutokana na mmea una maana sana. Kampuni nyingi zatumia njia hafifu kwa kutumia kemia zenye madhara kama vile propane, pentane na butane ambazo zinaweza kuwaka (flammable).Shirika la [https://www.constancetherapeutics.com/home Constance Theraupetics] limedai kuwa utumizi wa kemia kama hizi huwacha chemichemi bovu mwilini ambazo zaweza kudhuru afya ya mtu.▼
=== Njia ya kukuza mmea ===
Kuna wale wanaotumia kemia kukuza mimea ya hemp na cannabis ambayo hutoa cbd oil. Hili
▲=== Njia ya kudondoa ===
▲Muundo wa kudondoa cannabidiol kutokana na mmea una maana sana. Kampuni nyingi zatumia njia hafifu kwa kutumia kemia zenye madhara kama vile propane, pentane na butane ambazo zinaweza kuwaka (flammable). Shirika la Constance Theraupetics <ref>[https://www.constancetherapeutics.com/home
=== Viungo
Huenda cbd oil unayotumia ikawekwa viungo vingine visivyo sawa na mwili wako. Yafaa basi uangalie viungo hivyo kwa makini
== Viungo vya Nje ==
|