Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 69:
'''Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro''' ('''Kilimanjaro International Airport - KIA''') unahudumia eneo la [[mlima Kilimanjaro]] pamoja na miji ya [[Moshi (mji)|Moshi]] na [[Arusha (mji)|Arusha]] katika [[Tanzania]] ya kaskazini. .
 
Ni uwanja mdogo unaofikiwa zaidi na ndege za nchini Tanzania. Makampuni ya kimataifa yanayohudumia KIA ni hasa [[KLM]] kutoka [[Amsterdam]], [[Ethiopian Airlines]] kutoka [[Addis AbbabaAbaba]], [[Kenya Airways ya Kenya]], [[Airkenya Express]], [[Qatar Airways]], [[Condor Flugdienst]], [[RwandAir]] na [[Turkish Airlines]].
 
Mwaka [[2004]] [[abiria]] 294.750 walitumia uwanja huu. Hivyo ulikuwa uwanja wa ndege wa pili katika Tanzania baada ya [[Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Kambarage Nyerere|uwanja wa Dar es Salaam]].
 
==Makampuni ya ndege na vifiko==