Doris Mollel : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Doris Mollel''' (alizaliwa mkoani Arusha mnamo [[1994]])
==Maisha yake==
Doris alizaliwa mtoto [[Njiti]] wakiwa mapacha,wakiwa ni wa kwanza kuzaliwa katika [[familia]] ya watoto watatu ya William Mollel(Marehemu) na Mama Celine Mollel.Amekuwa akijibidhiisha kutoa misaada kwa jamii kupitia taasisi yake ya Doris Foundation,misaada hiyo ni pamoja na kutoa [[vitabu]] kwa shule mbalimbali za [[msingi]]<ref>http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/taasisi-ya-doris-mollel-yapokea-vitabu-zaidi-ya-200-kutoka-mak-solutions</ref> lakini pia kusaidia upatikanaji wa mahitaji muhimu kwa ajili ya watoto [[Watoto Njiti]] kama vile, [[Mashine]] za [[Oxygen]] na za kunyonyea uchafu kutoka kwa Watoto [[Njiti]]<ref>https://www.dailynews.co.tz/news/mrembo-anayetetea-maisha-ya-watoto-njiti.aspx</ref> lakini pia kuwasaidia wazazi wa watoto hawa pale msaada unapohitajika<ref>https://issamichuzi.blogspot.com/2016/11/taasisi-ya-doris-mollel-ya-yatoa.html</ref>
==Elimu yake==
==Kazi yake==
Mstari 10:
==Tuzo==
Mnamo mwaka 2012 Doris alifanikiwa kutwaa taji mrembo wa utalii katika chuo cha Mwalimu Nyerere na kitu cha kwanza kufanya baada ya kuchaguliwa huko, ni kupeleka watoto yatima wa kituo cha Chakuwama, Sinza, Dar es Salaam kwenda kuona vituo vya utalii mjini Bagamoyo.mwaka 2013 aliweza kushinda katika mashindano ya Urembo ya REDDS MISS ILALA 2013<ref>http://mrokim.blogspot.com/2013/08/dorice-mollel-ndiye-redds-miss-ilala.html</ref>
Mnamo mwaka 2014 alishiriki mashindano ya mrembo wa Singida na kutwaa taji la Miss Singida 2014<ref>http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/doris-mole-23-atwaa-taji-la-miss-singida-2014-apewa-kitita-cha-shilingi-laki-tano</ref>
==Marejeo==
|