Mpasuaji : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Shushrut_statue.jpg|thumb|[[Sanamu]] iliyotolewa kwaya daktari [[Uhindi|Mhindi]] wa [[upasuaji]] wa kale, [[Sushruta]], mpasuaji wa kwanza katika [[kumbukumbu]] za [[dunia]], ambaye huchukuliwa kama 'Baba wa Utabibu wa Upasuaji' na mmoja wa waanzilishi wa Upasuaji wa Plastikiplastiki ambao kazi yake kubwa ni kurekebisha viungo vya mwili na hata kwa urembo hasa miaka ya karibuni <ref>{{cite web|url=https://plasticspot.io/blog/top-plastic-surgery-trends-2019/|title=Plastic Surgery Trends|}}</ref>.]]
'''Mpasuaji '''ni [[daktari]] wa [[tiba]] ambaye hufanya [[Upasuaji|shughuli za upasuaji]] katika [[kiungo|viungo]] mbalimbali yavya [[binadamu]].
 
Pia kuna upasuaji katika utabibu wa [[meno]] na utabibu wa [[mifugo]].
Mstari 6:
== Historia ==
[[Picha:Albucasis.gif|thumb|Al-Zahrawi, aliyeishi [[Nyakati za dhahabu za Kiislamu]] (Islamic Golden Age), ni daktari anayechukuliwa kuwa '"Baba wa Upasuaji wa Kisasa".]]
Mtu wa kwanza kuwekwa kwenye kumbukumbu kama daktari mpasuaji ni [[Sushruta]] aliyeishi [[karne ya 6]]. Yeye alifanya [[upasuaji wa plastiki]] peke yake<ref name="auto">Ira D. Papel, John Frodel, ''Facial Plastic and Reconstructive Surgery''</ref> ambao kazi yake kubwa ni kurekebisha viungo vya mwili na hata kwa urembo hasa miaka ya karibuni <ref>{{cite web|url=https://plasticspot.io/blog/top-plastic-surgery-trends-2019/|title=Plastic Surgery Trends|}}</ref>. [[Hati]] yake muhimu kabisa: ''Suśruta-saṃhitā'' ni [[moja]] ya hati muhimu zaidi za kale zilizoko kuhusu [[matibabu]] na huchukuliwa kama nakala msingi ya [[Ayurveda]] na upasuaji. Hati hii huongea kuhusu mambo yote ya matibabu ya kijumla, lakini mtafsiri [[G. D. Singhal]] alimwita Suśruta "baba wa upasuaji" kwa sababu ya usahihi usio wa kawaida na wa kina uliomo katika hati hizo.<ref>{{Cite book|title=Diagnostic considerations in ancient Indian surgery: (based on Nidāna-Sthāna of Suśruta Saṁhitā)|last=Singhal|first=G. D.|publisher=Singhal Publications|year=1972|location=Varanasi}}</ref>
 
[[Upasuaji]] ulipuuziwa kijumla hadi "Nyakati za dhahabu za Kiislamu" ambapo mpasuaji [[Al-Zahrawi]] ([[936]]-[[1013]]) alistawisha matibabu ya upasuaji. Yeye huchukuliwa kama mpasuaji mkuu zaidi wa kale aliyetoka [[Ulimwengu]] wa [[Kiislamu]].<ref name="Ahmad">{{citation|last=Ahmad|first=Z. ([[St Thomas' Hospital]])|title=Al-Zahrawi - The Father of Surgery|journal=ANZ Journal of Surgery|year=2007|volume=77|issue=Suppl. 1|doi=10.1111/j.1445-2197.2007.04130_8.x|pages=A83}}</ref> Mchango wake mkubwa kwa matibabu ni ''Kitab al-Tasrif'', [[kamusi elezo]] ya matibabu yenye [[juzuu]] [[thelathini]].<ref name="al-ZahrāwīStudies1973">{{cite book|last1=al-Zahrāwī|first1=Abū al-Qāsim Khalaf ibn ʻAbbās|last2=Studies|first2=Gustave E. von Grunebaum Center for Near Eastern|title=Albucasis on surgery and instruments|url=https://books.google.com/books?id=mjVra87nRScC&pg=PR8|accessdate=16 May 2011|year=1973|publisher=University of California Press|isbn=978-0-520-01532-6}}</ref>
Mstari 27:
{{reflist}}
 
{{mbegu-elimutiba}}
 
[[Jamii:ElimuKazi]]
[[Jamii:Tiba]]