Kitabu cha Yuditi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →Ufafanuzi: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|he}} using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Judith und Holofernes (Michelangelo).jpg|thumb|[[Michelangelo Buonarroti]], ''Yuditi na kichwa cha Oloferne'', 1508-1512, [[Cappella Sistina]], [[Vatikano]].]]
'''Kitabu cha Yudith''' ni kimojawapo kati ya [[vitabu]] vya [[deuterokanoni]] vya [[Biblia ya Kikristo]].
Kimo katika [[Septuaginta]] na katika [[Agano la Kale]] la [[Kanisa Katoliki]], la [[Waorthodoksi]] wengi na la baadhi ya [[Waprotestanti]], lakini si katika [[Tanakh]] ya [[Uyahudi]] wala katika [[Biblia]] ya Waprotestanti.
==Habari iliyomo==
[[Hadithi]] hiyo, iliyoandikwa katika [[karne ya 1
Kinyume cha matarajio, [[Yudith]], ambaye [[jina]] lake linamaanisha [[mwanamke]] wa [[kabila la Yuda]], aliweza kupata [[ushindi]] mkubwa dhidi ya maadui wa [[taifa]] la [[Israeli]] kwa [[imani]] na [[ushujaa]] wake.
Habari hiyo ya ajabu ilipata [[mwangwi]] kwa wingi katika [[sanaa]] mbalimbali.
==Ufafanuzi==
Wengi wanaona katika
Kama vitabu vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Line 17 ⟶ 18:
{{DEFAULTSORT:Yuditi}}
{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
[[Jamii:Vitabu vya Agano la Kale]]
|