Kitabu cha Wamakabayo II : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q209748 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Judea Judas Makk.PNG|thumb|230px|Judea chini ya Yuda Makabayo.]]
'''Kitabu cha pili cha Wamakabayo''' ni kimojawapo katika ya [[vitabu]] vya [[deuterokanoni]] vya [[Agano la Kale]] katika [[Biblia]] ya [[Kanisa Katoliki]] na ya [[Waortodoksi]] wengi.
Sawa na [[Kitabu cha Wamakabayo I]] kinasimulia upiganaji [[uhuru]] wa [[Wayahudi]] wakiongozwa na
Anadhaniwa kuwa Myahudi msomi wa [[Aleksandria]] ([[Misri]]) au aliyeathiriwa na shule ya uandishi ya Misri.
Ingawa aliandikwa kwa [[ufasaha]] katika [[lugha]] ya [[Kigiriki]], anaonekana ameshikilia kabisa [[Torati]] ya [[Uyahudi]].
Kitabu kinaonekana kimeandikwa mwishoni mwa karne ya 2
Kinasimulia kwa namna nyingine habari za awali za Kitabu cha kwanza cha Wamakabayo ([[176
Kitabu hicho ni muhimu katika maendeleo ya [[ufunuo]] wa Mungu kwa [[Israeli]], kwa kuwa kinafundisha [[uumbaji]] kutoka [[utovu wa vyote]], [[ufufuko]] wa wafu, [[maombezi]] kwa ajili ya [[marehemu]], uwepo wa [[malaika]] n.k.
Kama vitabu vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
{{Biblia AK}}▼
{{mbegu-Biblia}}
{{DEFAULTSORT:Makabayo II}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]
▲{{Biblia AK}}
|